Wazee wa bahasha na udanganyifu kwenye soka

Wazee wa bahasha na udanganyifu kwenye soka

Ladder 49

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2017
Posts
7,918
Reaction score
20,037
Wakuu habari zenu?

Baada ya kuona mambo magumu round ya kwanza wameamua kuja na bahasha maana mashabiki wake wanapiga kelele sana yaani timu kufungwa mechi mbili tu na bado inaongoza ligi wanataka kumtoa roho raisi wa timu eti anaihujumu timu?

Sasa wameamua kutoa bahasha kwa timu pinzani ili kuwafurahisha Mashabiki.

Ndio maana kocha wao alisema timu azimpi ushindani wakumsaidia yeye kimataifa maana ni mwendo wa 4,5,6 tu kabla ya hapo ilikuwa mwendo wa moja bila kwa mbinde na hiyo ndio ilikuwa uhalisia wa ligi wachezaji wanataka waonekane wanakaza sasa mashabiki wanabweka wanaona wao ndio wanacheza peke yao uwanjani.

Kuna ile ya unbeaten mechi 49, mechi ya 50 anaenda kucheza na timu inayoshika nafasi ya mwisho kwenye ligi lakini akafungwa.lakini sasa hivi hakuna huo ushindani wanapewa tu mzigo wanapigwa 6 bila halafu wanaambiwa hawa wanashuka daraja wabovu,

Hahahah.kiuhalisia wanaoshuka daraja ndio wagumu kufungika.

Kwenye ligi yoyote ile duniani round 2 ndio inakuwa ngumu sana timu zisizo fungwa kwenye round ya kwanza ,round ya 2 lazima zipoteze tu points na points zitakazo kusanywa round 2 zinakuwa chache kuliganisha na round ya kwanza Kwenye ligi.

wazee wa bahasha round ya kwanza kwa ushindi ule wa moja bila licha ya kufanya usajiri round ya pili walikuwa wanaacha points nyingi sana wameamua kuweka mzigo mezani ili kuwafurahisha mashabiki maana walikuwa wanalalamika sana na kubweka sana.

Kwenye mpira ndio maana hata watu wakaweka makampuni ya kubet huwezi kushinda wewe kila siku goli 4,5,6 halafu ni round ya 2,
Mechi ya hapa juzi timu pinzani wameamua kuweka kikosi cha pili wachezaji wa kikosi cha kwanza wamepumzishwa mpaka unashangaa hii ligi vipi? Ili tu wazee wa bahasha washinde tu mashabiki wafurahi.

Wazee wa bahasha mnajidanganya wenyewe tu mwakani tena mtaishia kutoka makundi na points 8 tu, maana points 9 hamuwezi kifikisha, na kama kawaida kwenye mtoano kuingia kwenye makundi mnapewa timu ambazo hazina viwanja mechi zote mnachezea nyumbani mnajifariji mnatimu ,mbele ya safari hamfiki kokote.

Kuna hii ya juzi kwenye uwanja mpya mliohamia hiyo timu ndio uwanja wake wa nyumbani mechi ya kwanza mliifunga 1 bila round ya 2 mkamfunga 6 .bila ya timu yenu kuwa na kocha.

Kuna nyingine mliwafunga 3-2 round 1, round ya pili mkamfunga 5 bila nyumbani kwake hakunaga ligi Kuu ya namna hiyo duniani.

Kuna timu ambazo hawawezi kutoa bahasha ilikuwa hivi round ya kwanza walishinda 2 bila kwa Mbinde na timu pinzani walikuwa pungufu ,round ya pili wakaenda 0-0.

Msimu huu ligi ilivyokuwa inaanza round ya kwanza timu zilipania sana timu zetu kubwa kuakikisha wanazizibiti haswa.

Round ya pili ni hao tu wazee wa bahasha ndio wanashinda wanavyotaka.hata bila kocha ni mwendo wa 6 tu.

Ni hayo tu wakuu.
 
Wakuu habari zenu?

Baada ya kuona mambo magumu round ya kwanza wameamua kuja na bahasha maana mashabiki wake wanapiga kelele sana yaani timu kufungwa mechi mbili tu na bado inaongoza ligi wanataka kumtoa roho raisi wa timu eti anaihujumu timu?

Sasa wameamua kutoa bahasha kwa timu pinzani ili kuwafurahisha Mashabiki.

Ndio maana kocha wao alisema timu azimpi ushindani wakumsaidia yeye kimataifa maana ni mwendo wa 4,5,6 tu kabla ya hapo ilikuwa mwendo wa moja bila kwa mbinde na hiyo ndio ilikuwa uhalisia wa ligi wachezaji wanataka waonekane wanakaza sasa mashabiki wanabweka wanaona wao ndio wanacheza peke yao uwanjani.

Kuna ile ya unbeaten mechi 49, mechi ya 50 anaenda kucheza na timu inayoshika nafasi ya mwisho kwenye ligi lakini akafungwa.lakini sasa hivi hakuna huo ushindani wanapewa tu mzigo wanapigwa 6 bila halafu wanaambiwa hawa wanashuka daraja wabovu,

Hahahah.kiuhalisia wanaoshuka daraja ndio wagumu kufungika.

Kwenye ligi yoyote ile duniani round 2 ndio inakuwa ngumu sana timu zisizo fungwa kwenye round ya kwanza ,round ya 2 lazima zipoteze tu points na points zitakazo kusanywa round 2 zinakuwa chache kuliganisha na round ya kwanza Kwenye ligi.

wazee wa bahasha round ya kwanza kwa ushindi ule wa moja bila licha ya kufanya usajiri round ya pili walikuwa wanaacha points nyingi sana wameamua kuweka mzigo mezani ili kuwafurahisha mashabiki maana walikuwa wanalalamika sana na kubweka sana.

Kwenye mpira ndio maana hata watu wakaweka makampuni ya kubet huwezi kushinda wewe kila siku goli 4,5,6 halafu ni round ya 2,
Mechi ya hapa juzi timu pinzani wameamua kuweka kikosi cha pili wachezaji wa kikosi cha kwanza wamepumzishwa mpaka unashangaa hii ligi vipi? Ili tu wazee wa bahasha washinde tu mashabiki wafurahi.

Wazee wa bahasha mnajidanganya wenyewe tu mwakani tena mtaishia kutoka makundi na points 8 tu, maana points 9 hamuwezi kifikisha, na kama kawaida kwenye mtoano kuingia kwenye makundi mnapewa timu ambazo hazina viwanja mechi zote mnachezea nyumbani mnajifariji mnatimu ,mbele ya safari hamfiki kokote.

Kuna hii ya juzi kwenye uwanja mpya mliohamia hiyo timu ndio uwanja wake wa nyumbani mechi ya kwanza mliifunga 1 bila round ya 2 mkamfunga 6 .bila ya timu yenu kuwa na kocha.

Kuna nyingine mliwafunga 3-2 round 1, round ya pili mkamfunga 5 bila nyumbani kwake hakunaga ligi Kuu ya namna hiyo duniani.

Kuna timu ambazo hawawezi kutoa bahasha ilikuwa hivi round ya kwanza walishinda 2 bila kwa Mbinde na timu pinzani walikuwa pungufu ,round ya pili wakaenda 0-0.

Msimu huu ligi ilivyokuwa inaanza round ya kwanza timu zilipania sana timu zetu kubwa kuakikisha wanazizibiti haswa.

Round ya pili ni hao tu wazee wa bahasha ndio wanashinda wanavyotaka.hata bila kocha ni mwendo wa 6 tu.

Ni hayo tu wakuu.
Akili mgando, soma hukusu 'pessimistic people', utanishukuru
 
BASI KAMA NDIO HIVYO HII NCHI HAINA DOLA.

Yani selikali na TAKUKURU wameshindwa kabisa kupambaba na Rushwa.

"Rushwa ni Adui wa Haki"
JK Nyerere.
 
Simba tunapaswa kumfunga Yanga tarehe 8 ndo njia pekee ya uhakika wa sisi kubeba ubingwa. Hayo mengine tuyaache kwanza maana wahuni hawatachelewa kukuuliza kwahiyo na nyie Simba tuliwapa bahasha kwenye zile goli 5?
Wewe unastahili kuwa kijana wa Mangungu. Mtu yeyote akitokea na kukuambia wewe ni kijana wa Rage, mkatalie faster.
 
BASI KAMA NDIO HIVYO HII NCHI HAINA DOLA.

Yani selikali na TAKUKURU wameshindwa kabisa kupambaba na Rushwa.

"Rushwa ni Adui wa Haki"
JK Nyerere.
Kama dola ipo mbona rushwa ipo miaka yote. Hizo taasisi HazinA meno kwa watu fulani
 
Wakuu habari zenu?

Baada ya kuona mambo magumu round ya kwanza wameamua kuja na bahasha maana mashabiki wake wanapiga kelele sana yaani timu kufungwa mechi mbili tu na bado inaongoza ligi wanataka kumtoa roho raisi wa timu eti anaihujumu timu?

Sasa wameamua kutoa bahasha kwa timu pinzani ili kuwafurahisha Mashabiki.

Ndio maana kocha wao alisema timu azimpi ushindani wakumsaidia yeye kimataifa maana ni mwendo wa 4,5,6 tu kabla ya hapo ilikuwa mwendo wa moja bila kwa mbinde na hiyo ndio ilikuwa uhalisia wa ligi wachezaji wanataka waonekane wanakaza sasa mashabiki wanabweka wanaona wao ndio wanacheza peke yao uwanjani.

Kuna ile ya unbeaten mechi 49, mechi ya 50 anaenda kucheza na timu inayoshika nafasi ya mwisho kwenye ligi lakini akafungwa.lakini sasa hivi hakuna huo ushindani wanapewa tu mzigo wanapigwa 6 bila halafu wanaambiwa hawa wanashuka daraja wabovu,

Hahahah.kiuhalisia wanaoshuka daraja ndio wagumu kufungika.

Kwenye ligi yoyote ile duniani round 2 ndio inakuwa ngumu sana timu zisizo fungwa kwenye round ya kwanza ,round ya 2 lazima zipoteze tu points na points zitakazo kusanywa round 2 zinakuwa chache kuliganisha na round ya kwanza Kwenye ligi.

wazee wa bahasha round ya kwanza kwa ushindi ule wa moja bila licha ya kufanya usajiri round ya pili walikuwa wanaacha points nyingi sana wameamua kuweka mzigo mezani ili kuwafurahisha mashabiki maana walikuwa wanalalamika sana na kubweka sana.

Kwenye mpira ndio maana hata watu wakaweka makampuni ya kubet huwezi kushinda wewe kila siku goli 4,5,6 halafu ni round ya 2,
Mechi ya hapa juzi timu pinzani wameamua kuweka kikosi cha pili wachezaji wa kikosi cha kwanza wamepumzishwa mpaka unashangaa hii ligi vipi? Ili tu wazee wa bahasha washinde tu mashabiki wafurahi.

Wazee wa bahasha mnajidanganya wenyewe tu mwakani tena mtaishia kutoka makundi na points 8 tu, maana points 9 hamuwezi kifikisha, na kama kawaida kwenye mtoano kuingia kwenye makundi mnapewa timu ambazo hazina viwanja mechi zote mnachezea nyumbani mnajifariji mnatimu ,mbele ya safari hamfiki kokote.

Kuna hii ya juzi kwenye uwanja mpya mliohamia hiyo timu ndio uwanja wake wa nyumbani mechi ya kwanza mliifunga 1 bila round ya 2 mkamfunga 6 .bila ya timu yenu kuwa na kocha.

Kuna nyingine mliwafunga 3-2 round 1, round ya pili mkamfunga 5 bila nyumbani kwake hakunaga ligi Kuu ya namna hiyo duniani.

Kuna timu ambazo hawawezi kutoa bahasha ilikuwa hivi round ya kwanza walishinda 2 bila kwa Mbinde na timu pinzani walikuwa pungufu ,round ya pili wakaenda 0-0.

Msimu huu ligi ilivyokuwa inaanza round ya kwanza timu zilipania sana timu zetu kubwa kuakikisha wanazizibiti haswa.

Round ya pili ni hao tu wazee wa bahasha ndio wanashinda wanavyotaka.hata bila kocha ni mwendo wa 6 tu.

Ni hayo tu wakuu.
Kweli soka linaweza kufanya mtu kua kichaa wewe ndo wakuandika haya madudu? [emoji3]
 
Pigilia kwenye mshono mkuu...km Kuna mechi ...ilifungwa goli la freekick la mchongo aisee aibu niliona Mimi😂😂
 
Jana nimejaribu kumkosea yule jamaa aliyeanzisha uzi wa jukwaa la sports linaongoza kwa members wajinga na vilaza.

Kaka popote ulipo kama unasoma ujumbe huu nisamehe sana.
 
Unaweza kua una hoja ila Hisia zimetawala sana Akili zako Mkuu.

Ukisema Yanga Wazee wa bahasha na wamewafunga mara nyingi nyie kama walivyowafunga KMC huoni Kuna shida?

Oky.

Tarehe 8 ifike tu.
 
Wakuu habari zenu?

Baada ya kuona mambo magumu round ya kwanza wameamua kuja na bahasha maana mashabiki wake wanapiga kelele sana yaani timu kufungwa mechi mbili tu na bado inaongoza ligi wanataka kumtoa roho raisi wa timu eti anaihujumu timu?

Sasa wameamua kutoa bahasha kwa timu pinzani ili kuwafurahisha Mashabiki.

Ndio maana kocha wao alisema timu azimpi ushindani wakumsaidia yeye kimataifa maana ni mwendo wa 4,5,6 tu kabla ya hapo ilikuwa mwendo wa moja bila kwa mbinde na hiyo ndio ilikuwa uhalisia wa ligi wachezaji wanataka waonekane wanakaza sasa mashabiki wanabweka wanaona wao ndio wanacheza peke yao uwanjani.

Kuna ile ya unbeaten mechi 49, mechi ya 50 anaenda kucheza na timu inayoshika nafasi ya mwisho kwenye ligi lakini akafungwa.lakini sasa hivi hakuna huo ushindani wanapewa tu mzigo wanapigwa 6 bila halafu wanaambiwa hawa wanashuka daraja wabovu,

Hahahah.kiuhalisia wanaoshuka daraja ndio wagumu kufungika.

Kwenye ligi yoyote ile duniani round 2 ndio inakuwa ngumu sana timu zisizo fungwa kwenye round ya kwanza ,round ya 2 lazima zipoteze tu points na points zitakazo kusanywa round 2 zinakuwa chache kuliganisha na round ya kwanza Kwenye ligi.

wazee wa bahasha round ya kwanza kwa ushindi ule wa moja bila licha ya kufanya usajiri round ya pili walikuwa wanaacha points nyingi sana wameamua kuweka mzigo mezani ili kuwafurahisha mashabiki maana walikuwa wanalalamika sana na kubweka sana.

Kwenye mpira ndio maana hata watu wakaweka makampuni ya kubet huwezi kushinda wewe kila siku goli 4,5,6 halafu ni round ya 2,
Mechi ya hapa juzi timu pinzani wameamua kuweka kikosi cha pili wachezaji wa kikosi cha kwanza wamepumzishwa mpaka unashangaa hii ligi vipi? Ili tu wazee wa bahasha washinde tu mashabiki wafurahi.

Wazee wa bahasha mnajidanganya wenyewe tu mwakani tena mtaishia kutoka makundi na points 8 tu, maana points 9 hamuwezi kifikisha, na kama kawaida kwenye mtoano kuingia kwenye makundi mnapewa timu ambazo hazina viwanja mechi zote mnachezea nyumbani mnajifariji mnatimu ,mbele ya safari hamfiki kokote.

Kuna hii ya juzi kwenye uwanja mpya mliohamia hiyo timu ndio uwanja wake wa nyumbani mechi ya kwanza mliifunga 1 bila round ya 2 mkamfunga 6 .bila ya timu yenu kuwa na kocha.

Kuna nyingine mliwafunga 3-2 round 1, round ya pili mkamfunga 5 bila nyumbani kwake hakunaga ligi Kuu ya namna hiyo duniani.

Kuna timu ambazo hawawezi kutoa bahasha ilikuwa hivi round ya kwanza walishinda 2 bila kwa Mbinde na timu pinzani walikuwa pungufu ,round ya pili wakaenda 0-0.

Msimu huu ligi ilivyokuwa inaanza round ya kwanza timu zilipania sana timu zetu kubwa kuakikisha wanazizibiti haswa.

Round ya pili ni hao tu wazee wa bahasha ndio wanashinda wanavyotaka.hata bila kocha ni mwendo wa 6 tu.

Ni hayo tu wakuu.
Miaka ya 2000 mwakingwe alishakamatwa na bahasa yenye fedha akiwa nyuma ya foli la MTIBWA.Case ilipelekwa PCCB na sijui iliishia wpi?
Ulikuwa mji gani wakati huo?
 
Back
Top Bottom