MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,825
- 4,374
Nauliza ile mechi ya Ukonga Kings na JKT nani alishinda. Nilianga quarters 2 tu ya 1 ikawa 22 kwa 22 na ya pili ikawa 48 kwa 48!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Ally mbegu kachezaga Sana pale pallot Arusha ana ndugu yake anaitwa hajji mbegu ..wako Moto saana Hawa machalii, bakee fore life😎😎Ally Mbegu wa Ukonga NI moto wa kuotea mbali pamoja na Baraka wa JKT japo mwili na urefu NI changamoto
Baraka yupi uyo ..yule aliyeumiaga? Ameanza kucheza.?Mkuu unamjua vzur baraka…
Mwili na urefu haujawah kua changamoto kwake
Niliishia qtr 1
Hii Ni ligi ya Dar au Arusha?Mkuu,, game zimefikia kwenye final series na game 1 itachezwa jumatano saa mbili kamili usiku.
Final ni PAZI vs KINGS.
Kashapona. Baraka NI moto wa kuotea mbaliBaraka yupi uyo ..yule aliyeumiaga? Ameanza kucheza.?
Asante ndugu yanguJkt 72- Kings 91.
Ligi ya Dar mkuu.Hii Ni ligi ya Dar au Arusha?
Pamoja ndg.Asante ndugu yangu