Wazee wa 'Connection ninayo njoo inbox' tambueni mnatenda kosa la jinai

Wazee wa 'Connection ninayo njoo inbox' tambueni mnatenda kosa la jinai

Shining Light

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2024
Posts
406
Reaction score
523
Wengi tukikutana na connection fasta tunapaparuka kutaka kuiona, wengine tukitaka kuhakikisha kuwa ni kweli au kusuuza macho tu, utafikiri inaongeza chochote kwenye maisha yako!

Hivi unajua siku mwamba akakusnich na kukuripoti unambaza connection ndio umekwisha?

Kuna matatu, ni ama ulipe faini ya milioni 20, uende jela miaka 7 au upigwe spana zote mbili, yaani uende jela na faini ulipe.

Sasa kwa maisha haya ya kibongo kibongo laki tu mtu inakutoa jasho kwenye milioni 20 hiyo tunajua 99% hatutoboi, ni jela moja kwa moja.

Kama huwezi sambaza connection ya dada yako, mama yako, baba yako au kaka yako kwanini uwe mwepesi kusambaza za wengine?

Kuwa muungwana kwa kuwa mfano bora kwa wengine uwapo mtandaoni.

Nakukumbusha tu: Kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Mtandao ya Mwaka 2015 ni kosa Kisheria Kusambambaza Picha za Mnato (still pictures) na Picha Mjongeo (Video) zinazoashiria vitendo vya Ngono au Utupu

Ukikutwa na hatia, adhabu ni;
1. Faini ya Milioni 20
2. Kifungo jela Miaka 7
3 Au vyote kwa Pamoja
 
mnarecord
Wengi tukikutana na connection fasta tunapaparuka kutaka kuiona, wengine tukitaka kuhakikisha kuwa ni kweli au kusuuza macho tu, utafikiri inaongeza chochote kwenye maisha yako!

Hivi unajua siku mwamba akakusnich na kukuripoti unambaza connection ndio umekwisha?

Kuna matatu, ni ama ulipe faini ya milioni 20, uende jela miaka 7 au upigwe spana zote mbili, yaani uende jela na faini ulipe.

Sasa kwa maisha haya ya kibongo kibongo laki tu mtu inakutoa jasho kwenye milioni 20 hiyo tunajua 99% hatutoboi, ni jela moja kwa moja.

Kama huwezi sambaza connection ya dada yako, mama yako, baba yako au kaka yako kwanini uwe mwepesi kusambaza za wengine?

Kuwa muungwana kwa kuwa mfano bora kwa wengine uwapo mtandaoni.

Nakukumbusha tu: Kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Mtandao ya Mwaka 2015 ni kosa Kisheria Kusambambaza Picha za Mnato (still pictures) na Picha Mjongeo (Video) zinazoashiria vitendo vya Ngono au Utupu

Ukikutwa na hatia, adhabu ni;
1. Faini ya Milioni 20
2. Kifungo jela Miaka 7
3 Au vyote kwa Pamoja
mnarecord kwa matumizi yapi
 
Uliiona Hii jifunze kufurahia maisha yako
1711105028747.jpg
 
Wengi tukikutana na connection fasta tunapaparuka kutaka kuiona, wengine tukitaka kuhakikisha kuwa ni kweli au kusuuza macho tu, utafikiri inaongeza chochote kwenye maisha yako!

Hivi unajua siku mwamba akakusnich na kukuripoti unambaza connection ndio umekwisha?

Kuna matatu, ni ama ulipe faini ya milioni 20, uende jela miaka 7 au upigwe spana zote mbili, yaani uende jela na faini ulipe.

Sasa kwa maisha haya ya kibongo kibongo laki tu mtu inakutoa jasho kwenye milioni 20 hiyo tunajua 99% hatutoboi, ni jela moja kwa moja.

Kama huwezi sambaza connection ya dada yako, mama yako, baba yako au kaka yako kwanini uwe mwepesi kusambaza za wengine?

Kuwa muungwana kwa kuwa mfano bora kwa wengine uwapo mtandaoni.

Nakukumbusha tu: Kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Mtandao ya Mwaka 2015 ni kosa Kisheria Kusambambaza Picha za Mnato (still pictures) na Picha Mjongeo (Video) zinazoashiria vitendo vya Ngono au Utupu

Ukikutwa na hatia, adhabu ni;
1. Faini ya Milioni 20
2. Kifungo jela Miaka 7
3 Au vyote kwa Pamoja
Lakini kumbuka upuuzi wa namna hiyo wakati mwingine unafanywa makusudi na 'wale jamaa' tena kwa kufadhiliwa na Kodi zetu.
'Characters Assassination and Smear Campaign Propaganda'
 
Sawa! Kumbe yule miss mlitengana! Saizi upo na under age mnaishia kurecord mnyanduano tu
Anyway connection ndo ya kumnyima mtu kweli
 
Wengi tukikutana na connection fasta tunapaparuka kutaka kuiona, wengine tukitaka kuhakikisha kuwa ni kweli au kusuuza macho tu, utafikiri inaongeza chochote kwenye maisha yako!

Hivi unajua siku mwamba akakusnich na kukuripoti unambaza connection ndio umekwisha?

Kuna matatu, ni ama ulipe faini ya milioni 20, uende jela miaka 7 au upigwe spana zote mbili, yaani uende jela na faini ulipe.

Sasa kwa maisha haya ya kibongo kibongo laki tu mtu inakutoa jasho kwenye milioni 20 hiyo tunajua 99% hatutoboi, ni jela moja kwa moja.

Kama huwezi sambaza connection ya dada yako, mama yako, baba yako au kaka yako kwanini uwe mwepesi kusambaza za wengine?

Kuwa muungwana kwa kuwa mfano bora kwa wengine uwapo mtandaoni.

Nakukumbusha tu: Kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Mtandao ya Mwaka 2015 ni kosa Kisheria Kusambambaza Picha za Mnato (still pictures) na Picha Mjongeo (Video) zinazoashiria vitendo vya Ngono au Utupu

Ukikutwa na hatia, adhabu ni;
1. Faini ya Milioni 20
2. Kifungo jela Miaka 7
3 Au vyote kwa Pamoja
UMETUMWA?

UTU UKO WAPI?
MAADILI YAKO WAPI?
UUNGWANA UKO WAPI?
SHERIA ZIKO WAPI?

Hiyo ''connection'' iko wapi Mkuu
 
Back
Top Bottom