Zipi ile ya 2010 au zile za 1980'sNightmare in Helm street na Drag me to hell,huwa naangalia sizimalizi kigiza kinaingia,uoga unanishika
Anything you like 😊Soseji pembeni kama kawaida
Movie za kutisha zilikuwa miaka hiyo bhanaNightmare in Helm street na Drag me to hell,huwa naangalia sizimalizi kigiza kinaingia,uoga unanishika
Hah eti siku hizi watu wanasema IT inatisha,hawapo serious.. crown anakutishajeMovie za kutisha zilikuwa miaka hiyo bhana
Mpaka leo naisubiri part 3 ya "I spit on your grave..."
Na imani ipo siku itatoka tu
Hapo sasa, eti movie ya kutisha unaangalia usiku na wala uhisi lolote.Hah eti siku hizi watu wanasema IT inatisha,hawapo serious.. crown anakutishaje
Sijui ndiyo sijielewi ila hiyo kwenye bold siku naiangalia niliiona kama Shumileta tu.Nightmare in Helm street na Drag me to hell,huwa naangalia sizimalizi kigiza kinaingia,uoga unanishika
Drag me part 2, ilitoka lini?Sijui ndiyo sijielewi ila hiyo kwenye bold siku naiangalia niliiona kama Shumileta tu.
”Drag me to hell” ile part I ndiyo kali sana part II walichemka.
Haha akikujibu nitag,me naisubiri mdogo wetu anayo na hasemiDrag me part 2, ilitoka lini?
Sidhani kama hii ilitoka part two!!Haha akikujibu nitag,me naisubiri mdogo wetu anayo na hasemi
Boss katupiga..Sidhani kama hii ilitoka part two!!
😄😄😄
Hii ya 2006, nayo inatisha mpaka leoHii nayo ya mwaka Jana inatisha sana,nzuri zaidi Kama unaelewa story line,maana ni Mambo yaliyoandikwa kwenye Bible
View attachment 2953593
Huenda yeye anayo,ngoja arudi..🤔Boss katupiga..