Wazee wa kikokotoo mpo kimya sana

Wazee wa kikokotoo mpo kimya sana

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Wazee wa kuvizia wanyama wakali waue kisha wao wale mizoga kwa sasa endeleeni kununua betri kwa ajili ya vikokotozi vyenu maana hesabu ni ngumu sana kwenu.

Mwakarobo hapa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Malengo ya Yanga ni kufika nusu final cafcl na kuchukua vikombe vya ndani vyote na hayo yatatimia bila shida
 
Aaah basi sawa ila tutavuka hesabu bado ziko upande wetu sema tulipoteana pale mwanzo ila usijali tulia uangalie show
Mahesebu magumu sana kaka,sababu Mazembe amfunge MC algers alafu Yanga amfunge MC algers na Al ahal
 
No mahesabu Yako hivi "Yanga ashinde mechi zake zote"ni hivyo Wala hakuna hesabu za nani amfunge nani ni yanga kushinda na tulianza na Mazembe tutamaliza na MC Alger
Kwamba hao wenyewe hawahitaji ushindi?
Wakati mnapiga hizo hesabu wenzenu nao wanapiga hesabu hizohizo.Kazi kwenu mkuu.
 
No mahesabu Yako hivi "Yanga ashinde mechi zake zote"ni hivyo Wala hakuna hesabu za nani amfunge nani ni yanga kushinda na tulianza na Mazembe tutamaliza na MC Alger
Hapo Sawa sasa MC Alger afungwe
 
Imean makundi huvuki kwenda robo.
IMG-20241207-WA0005.jpg
 
Yani huyu kwanza atakutana na full house Moja mbaya pale kwa Mkapa plus figisu za kutosha ni aamue kuwahi au kuchelewa ila atakula 5-0
Yanga hii hii ikupe full house katika mechi ngumu na isiyotabirika kama hiyo ya SM Algier? Juzi kwa Mazembe, mechi muhimu lakini walau ilikuwa na matumaini zaidi kama ile mlikuwa wangapi uwanjani?
 
Ingekuwa mechi za NBCL zinaendelea, nina uhakika Calculator FC alikuwa anapoteza points nyingine, maana si kwa stress alizonazo kila anapoiwaza MC Alger.
 
Back
Top Bottom