Wazee Wa Kubet huu mpambano ndani ya CCM tunaweka wapi mzigo

Wazee Wa Kubet huu mpambano ndani ya CCM tunaweka wapi mzigo

Albinoomweusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2016
Posts
3,433
Reaction score
8,585
Huu mpambano mpaka sasa ni mkali kweli kweli kabla watu hawajarejea toka china wengine wakakunwa kunakowasha
Unaweka wapi mzigo Je kuna Direct win hapa au Both team to score, vipi kuhusu Handcap au tuweke Most goals second half pia nikitazama sioni draw hapa
 
Huu mpambano mpaka sasa ni mkali kweli kweli kabla watu hawajarejea toka china wengine wakakunwa kunakowasha
Unaweka wapi mzigo Je kuna Direct win hapa au Both team to score, vipi kuhusu Handcap au tuweke Most goals second half pia nikitazama sioni draw hapa
Hapa tuweke Both Teams to Score Both Halves (GGGG). Sababu kila upande uko active sasa na 2020 pia.

Au pia twaweza kuweka HT/FT > 2/1, Yaan first half washinde kina Nape sababu ndo wanaotrend kwa sasa na audio zao kisha second half waje washinde kina Jiwe sababu wao ndo wenye kisu 2020.
 
Mwenye kisu ndio anakula nyama, Chato imeisha shinda.
 
Huu mpambano mpaka sasa ni mkali kweli kweli kabla watu hawajarejea toka china wengine wakakunwa kunakowasha
Unaweka wapi mzigo Je kuna Direct win hapa au Both team to score, vipi kuhusu Handcap au tuweke Most goals second half pia nikitazama sioni draw hapa
Both teams to score second half & no substitute player to score
 
Hapa tuweke Both Teams to Score Both Halves (GGGG). Sababu kila upande uko active sasa na 2020 pia.

Au pia twaweza kuweka HT/FT > 2/1, Yaan first half washinde kina Nape sababu ndo wanaotrend kwa sasa na audio zao kisha second half waje washinde kina Jiwe sababu wao ndo wenye kisu 2020.
HII BILA SHAKS INA ODDS ZA KUSHIBA
 
Hapa tuweke Both Teams to Score Both Halves (GGGG). Sababu kila upande uko active sasa na 2020 pia.

Au pia twaweza kuweka HT/FT > 2/1, Yaan first half washinde kina Nape sababu ndo wanaotrend kwa sasa na audio zao kisha second half waje washinde kina Jiwe sababu wao ndo wenye kisu 2020.
asante mkuu umejibu kitaalamu sanaaa...
 
Back
Top Bottom