Pre GE2025 Wazee wa kubeti na Ban huu Uchaguzi hamuuoni? Au ndio hamuamini timu zenu?

Pre GE2025 Wazee wa kubeti na Ban huu Uchaguzi hamuuoni? Au ndio hamuamini timu zenu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Majibu ya kura yanatangazwa muda wowote kuanzia sasa, baada ya zoezi kufanyika usiku kucha.

Wale wazee wa kuomba ban mko wapi? Mbona hatuwaoni, hamuamini team zenu kabisa? Ombeni basi tuwaite mods muda ukifika :BearLaugh: :BearLaugh: .

Pia soma: Pre GE2025 - Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Team Mbowe na Lissu kweli mnashindwa mapenzi na akina Uto na Makolo? Nabubujikwa na machozi ya uchungu:BearLaugh::BearLaugh:

Wapi Retired Lucas Mwashambwa? Mlikuwa mnatuigizia? Erythrocyte na Mshana Jr je?🌚🌚
 
Odero kaibuka mshindi. Kapata kura 671 kati ya kura 969 zilizopigwa
 
Wakuu,

Majibu ya kura yanatangazwa muda wowote kuanzia sasa, baada ya zoezi kufanyika usiku kucha.

Wale wazee wa kuomba ban mko wapi? Mbona hatuwaoni, hamuamini team zenu kabisa? Ombeni basi tuwaite mods muda ukifika :BearLaugh: :BearLaugh: .

Team Mbowe na Lissu kweli mnashindwa mapenzi na akina Uto na Makolo? Nabubujikwa na machozi ya uchungu:BearLaugh::BearLaugh:

Wapi Retired Lucas Mwashambwa? Mlikuwa mnatuigizia? Erythrocyte na Mshana Jr je?🌚🌚
Mimi kwangu siwezi kubet kwakuwa matokeo ya kiroho na ya kimtandao yako wazi kabisa .. Kumbuka niliandika uzi kuhusu ushindi wa SIMBA?

Thread 'Wiki la shangwe kubwa na furaha yakinifu' Wiki la shangwe kubwa na furaha yakinifu
 
Mwamba ndiye mshindi .
downloadfile-2.jpg
 
Back
Top Bottom