Mimi kwangu siwezi kubet kwakuwa matokeo ya kiroho na ya kimtandao yako wazi kabisa .. Kumbuka niliandika uzi kuhusu ushindi wa SIMBA?Wakuu,
Majibu ya kura yanatangazwa muda wowote kuanzia sasa, baada ya zoezi kufanyika usiku kucha.
Wale wazee wa kuomba ban mko wapi? Mbona hatuwaoni, hamuamini team zenu kabisa? Ombeni basi tuwaite mods muda ukifika.
Team Mbowe na Lissu kweli mnashindwa mapenzi na akina Uto na Makolo? Nabubujikwa na machozi ya uchungu
Wapi Retired Lucas Mwashambwa? Mlikuwa mnatuigizia? Erythrocyte na Mshana Jr je?🌚🌚
Mwamba ndiye mshindi .
Wewe ndio yule wa Mwanza Mwasi KitokoMwamba ndiye mshindi .
Huu mtifuano ni mkali maana ni battle kati ya Lissu na CCM