Wazee wa kujilipua MIKEKA.

msolopaganzi1954

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2018
Posts
763
Reaction score
379
......Kama kuna mdau anatumia kampuni hii ya GAL SPORTS BETTING..... Hawa jamaaa Nawaona wanazingua Sana, Ukitaka kutoa pesa wanasema System Inasumbua, ila kuweka pesa au Kucheza na kuliwa Hapa System Haina Tatizo.

#Hapa wadau Kama kuna Aliyejiunga na hii Kampuni Aje Hapa Tushare Mawazo please
 
Piga chini hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…