[emoji23][emoji23]Unataka Bwana?
Kasema yupo singo ndo anatafuta mumeumeolewa?
mwqmbie nipo apa kibentenKasema yupo singo ndo anatafuta mume
Lipia tangazo kwa mod kabisaKaribu sana mkuu!
Nunua na miche 100 ya miembe tupate matunda. @800 tu.
Call 0764622243 or whatsapp 0683011003
Hehehee asee kila la kheri huku wanaume wako kibao utapata tuuHiki ni kiumbe kigeni kabisa humu... kinahitaji ushirika wa mambo mengi sana... yale ya sirini msiogope kuni PM na yale yanayojadirika natia miguu yote humo... npo single so sihitaji usumbufu sababu sipo kwenye ndoa nafahamu kuwa walioko kwenye ndoa hawana hamu na wanapata taabu sana.... Hahabaaaaah... . Anyway kazi njema...