Wazee wa kuzika wapo standby!

Wazee wa kuzika wapo standby!

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Cc: Chama Cha Demokrasia
Screenshot_20241219-212234.jpg
 
Chama kitakufa kifo cha aibu endapo mwamba atagombea na kushinda. Countdown uchaguzi mkuu unakaribia kisitarajie kupata wabunge wengi bwerere. Chama cha mtu binafsi nani atakichagua?
 
Hii inamaanisha ccm imeandaa makaburi ya kuwazika inaowateka kama mzee kibao na sativa.hatari sana hiki chama Cha kigaidi
 
Back
Top Bottom