johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Baadhi ya wazee wa Machame na wengine kutokea Boma ng'ombe watakuwepo Dar es salaam wakati wa Christmas na Mwaka mpya kwa kile walichodai kuwa ni kula sikukuu na kijana wao ambaye kwa mwaka wa pili mfululizo anaweza kuwa bado yuko gerezani
Taarifa rasmi itawajia.
Kunywa mtori nyama utazikuta chini.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Taarifa rasmi itawajia.
Kunywa mtori nyama utazikuta chini.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!