Google chrome
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 2,276
- 12,780
Ule Masculine ni zero kabisa,gari ovyo sana hilo.
Kweli babu mie bado sijaielewa harrier kama ni ya kiumeGari ya madem hiyo
Eeee WAAAAAAImekaa ki shawty sana yani. Dume kalia Prado kama zipo
Mkuu wewe unatumia chuma gani ?Halafu harrier zote zimekaa kikekike sijui ni mimi tu ndio huwa naona hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
naishia kuona za watu tu mkuu, napenda vitu unique, heavy ya kigunu but luxurious. Kuna chuma 2 bado nazivutia tu mudaMkuu wewe unatumia chuma gani ?
Kila la kheri mkuunaishia kuona za watu tu mkuu, napenda vitu unique, heavy ya kigunu but luxurious. Kuna chuma 2 bado nazivutia tu muda
Kuwa na chuma kizuri ni muhimu, sema tu kisiwe kinakutesa.
Kigwanomics
Halafu Harrier na RAV 4 kwa sasa SUV ni kama sawa sawa. Hata height na shape ni sawasawa. Zipo nyingi tu Bongo, wala hakuna jipyaHiyo chuma ipo mjini mkuu, jitahidi kuangalia barabara za Masaki,Morocco au Posta.
Kuna watu town wanasukuma ndinga kali wametulia hawana habari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasoro ile Harrier dume 1st Generation...2nd Generation iko feminine zaidiUko sawa kabisa boss.
Imekaa kipumbavu kama kiatu cha mtotorange rover evoque ni moja ya gari nisiyoipenda jinsi ilivyo
Nakubali kabisa mzee baba.Kasoro ile Harrier dume 1st Generation...2nd Generation iko feminine zaidi
TupoooooooooooooooooooooooooooOO!O!O!!!!!!!!!!Ooo walie tu na badoooooooooo!!Harrier ya mwaka juzi. Bongo ipo? Nisije leta afu tuwe wengi wengi [emoji38][emoji38]View attachment 984710
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina beatle ya mzee wangu nimeirithi. yangu hasa kirkuu matata sana four wheel nakapenda hako
acha huko Bongo, hata Dodoma nimeshakutana nayo tangu mwaka jana 2020 napishana nayo shambani kabisa maeneo ya Miyuji, chini kabisa Makaburi ya wahangaHarrier ya mwaka juzi. Bongo ipo? Nisije leta afu tuwe wengi wengi [emoji38][emoji38]View attachment 984710
Sent using Jamii Forums mobile app