Wazee wa mikoani walipigania Uhuru?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Ni wakati muafaka wa historia ya nchi yetu ikafanyiwa marejeo. Ukiwa na haraka unaweza kudhani watu wa mikoani hawakutoa mchango kwenye Uhuru, Nyerere, Rupia na baadhi ya wadau wa mikoani wakiwa katika picha ya pamoja na mwalimu, inasemwa na baadhi ya wajukuu wa watu waliopo kwenye picha hiyo kuwa Babu zao walimchangia mwalimu hela ya matumizi wakati wa safari zake UN.

 

Msaga...
Hii picha ni kati ya picha 11 nilizopewa na watoto wa Ali Msham.

Picha hizo zilipigwa na Bevin Tipha Msowoya mwaka wa 1955.

Huyo wa kwanza kulia ni Zuberi Mtemvu.

Hapo ni nyumbani kwa Ali Msham Magomeni Mapipa alipofungua tawi la TANU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…