kuna siku nilikuwa na miadi ya biashara saa moja usiku...<br />
na mshikaji mmoja hivi....ilikuwa tukutane watuwatatu<br />
tujadili dili la pesa kadhaaa<br />
<br />
kufika kwenye hiyo bar,tukamkuta jamaa yupo high high hivi,,<br />
katupokea nje ya bar na anasema tufanye kikao kesho kwani kuna dharura<br />
<br />
tulipomuuliza zaidi ndo nikapa stori nzimma nikabaki hoi....<br />
<br />
jamaa akatuambia baba yake alikuwa na kawaida ya kupotea nyumbani kila <br />
anapopata mshahara.....na akirudi baada ya wiki hana hata shilingi<br />
<br />
sasa siku hiyo ndo siku ya kustaafu na kaambiwa baba yake kashalipwa mafao yake<br />
na mpaka dakika ile hajui baba yake alipo...<br />
so ndo anaingia viwanja kumtafuta,japo amnyanganye pesa kwanza....lol