LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Takribani mwezi mmoja na ushee umepita tangu Yanga Omary awekwe ndichi.
Kama ilivyo ada ya wazee wa Tanga na vitongoji vyake kijana wa mji anapopatwa na matatizo bila kujali ameyaita mwenyewe au yamemfuata yenyewe, huwa wanakaa na kufanya dua,kisomo au tambiko maalumu kwa ajili ya kuwaomba miungu wamfanyie mhusika wepesi katika matatizo yake.
But kwa hili la Yanga Omary wazee wanaonekana kumsusa.
Wazee Magwiji na.mafundi wa jijini Tanga karibu wote wamemkaushia Yanga Omary kama hawamjui vile. Hakuna kisomo,dua wala tambiko.
" Yule bwana mdogo mwache ajifunze ili akili zimkae sawa. Kwanza alikuwa na kibri kwa watu na hakuwa na ushirikiano mzuri na wazee" Anasema mmoja kati ya wazee magwiji wa jijini Tanga.
"Kama angekuwa anaishi na watu vizuri sisi wenyewe tungefanya kufru bila hata yeye au nduguze kutuomba" Anaendelea mzee huyo.
Kama wewe ni " kijana wa mji" unatakiwa kuishi vizuri na wazee.
Kama ilivyo ada ya wazee wa Tanga na vitongoji vyake kijana wa mji anapopatwa na matatizo bila kujali ameyaita mwenyewe au yamemfuata yenyewe, huwa wanakaa na kufanya dua,kisomo au tambiko maalumu kwa ajili ya kuwaomba miungu wamfanyie mhusika wepesi katika matatizo yake.
But kwa hili la Yanga Omary wazee wanaonekana kumsusa.
Wazee Magwiji na.mafundi wa jijini Tanga karibu wote wamemkaushia Yanga Omary kama hawamjui vile. Hakuna kisomo,dua wala tambiko.
" Yule bwana mdogo mwache ajifunze ili akili zimkae sawa. Kwanza alikuwa na kibri kwa watu na hakuwa na ushirikiano mzuri na wazee" Anasema mmoja kati ya wazee magwiji wa jijini Tanga.
"Kama angekuwa anaishi na watu vizuri sisi wenyewe tungefanya kufru bila hata yeye au nduguze kutuomba" Anaendelea mzee huyo.
Kama wewe ni " kijana wa mji" unatakiwa kuishi vizuri na wazee.