J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Feb 14, 2025 #1 Kupata uhakika unaweza kufanya utafiti mdogo tu na utagundua hili Kwa Sasa Tanzania hasa Bara ni kama vile Vijana Wote walikufa yaani hawaonekani kabisa kama Wapo tofauti na Gen Z hapo Kenya Jumaa Mubarak 😀
Kupata uhakika unaweza kufanya utafiti mdogo tu na utagundua hili Kwa Sasa Tanzania hasa Bara ni kama vile Vijana Wote walikufa yaani hawaonekani kabisa kama Wapo tofauti na Gen Z hapo Kenya Jumaa Mubarak 😀
S southg Member Joined Sep 9, 2024 Posts 82 Reaction score 134 Feb 14, 2025 #2 Ccm imeua elimu vijana wanaotaka vyuo vikuu na vya kati ila hawajui wafanye nn,wengine wamegeukia uchawa na na wengine kupakatwa na wazee
Ccm imeua elimu vijana wanaotaka vyuo vikuu na vya kati ila hawajui wafanye nn,wengine wamegeukia uchawa na na wengine kupakatwa na wazee
T The redemeer JF-Expert Member Joined Jan 28, 2025 Posts 1,497 Reaction score 2,681 Feb 14, 2025 #3 southg said: Ccm imeua elimu vijana wanaotaka vyuo vikuu na vya kati ila hawajui wafanye nn,wengine wamegeukia uchawa na na wengine kupakatwa na wazee Click to expand... Shida sio ccm bali ni vijana wenyewe technology ni jibu la mambo yote je vijana wanatumia mitandao ya kijamii kujikwamua au kupata fikra mpya za kubadili maisha yao kupitia fursa zinazowazunguka?
southg said: Ccm imeua elimu vijana wanaotaka vyuo vikuu na vya kati ila hawajui wafanye nn,wengine wamegeukia uchawa na na wengine kupakatwa na wazee Click to expand... Shida sio ccm bali ni vijana wenyewe technology ni jibu la mambo yote je vijana wanatumia mitandao ya kijamii kujikwamua au kupata fikra mpya za kubadili maisha yao kupitia fursa zinazowazunguka?
Rorscharch JF-Expert Member Joined Jul 22, 2013 Posts 878 Reaction score 2,014 Feb 14, 2025 #4 Lawama zote napeleka Simba na Yanga
holoholo JF-Expert Member Joined May 10, 2023 Posts 1,859 Reaction score 2,986 Feb 14, 2025 #5 southg said: Ccm imeua elimu vijana wanaotaka vyuo vikuu na vya kati ila hawajui wafanye nn,wengine wamegeukia uchawa na na wengine kupakatwa na wazee Click to expand... hapa umemlenga Lukas Mwashambwa
southg said: Ccm imeua elimu vijana wanaotaka vyuo vikuu na vya kati ila hawajui wafanye nn,wengine wamegeukia uchawa na na wengine kupakatwa na wazee Click to expand... hapa umemlenga Lukas Mwashambwa
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Feb 14, 2025 #6 Wewe uko kundi gani hapo