Wazee wa tathmini za majengo na ramani nawaomba huku

Wazee wa tathmini za majengo na ramani nawaomba huku

colin_morgan

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
2,443
Reaction score
2,912
Habar wakuu..
Kama kichwa cha habari hapo juu

Nina ka eneo changu kigamboni chenye ukubwa wa urefu mita 14.3, upana mita 9.75 ninataka nijenge vyumba vitatu ,kimoja master , sebule, kijiko , sitting room na choo cha jumuiya na kama itawezekana pia nitaweka na ki dining je itawezekana?

Kama itawezekana...naomba samples za ramani au michanganuo mengine roughly.

Nimeshachoka kupanga nataka nijenge kijumba cha kunistiri.

Nitashkuru sana wakuu kwa michango yenu ...munakaribishwa.
 
Inawezekana kabisa Ila nafasi itabaki ndogo Sana. Hapa kwa mimi.mtaalam ntatumia ramani yenye 11m kwa 9m
 
Uza hapo ununue mahali pengine, uweze kujenga mahali penye nafasi ya kutosha, sasa hapo ukishajenga ukitoka ndani hatua chache uko kwa jirani au barabarani, Nyumba nzuri uwe na uwezo wa kuizunguka wakati unapoifanyia usafi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uza hapo ununue mahali pengine, uweze kujenga mahali penye nafasi ya kutosha, sasa hapo ukishajenga ukitoka ndani hatua chache uko kwa jirani au barabarani, Nyumba nzuri uwe na uwezo wa kuizunguka wakati unapoifanyia usafi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndo uwezo wangu kwa sasa...na sitak nikae mbali na mji
 
Back
Top Bottom