Wazee wa tochi mikoani mnamkumbuka huyu

Kuna yule traffic wa kike TANGA aliyekaushwa Kama kuni akiwa anaona. Kisa ubabe.
Kuna yule mwingine wa kiume kule Soni aliyegezwa kuwa miss Soni. Just imagine kwenye kamji kadogo halafu wahuni kumi walimpangia foleni mpaka asubuhi na kumwacha hapo kwenye kituo chake Cha kukamatia magari.
 
Yule mama aliyekuwa pale mlandizi miaka ya 2000 alikuwa mbabe kwelikweli, alipotelea wapi?
 
Wamemniniliiii!!!!!!?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…