Wazee wa Vizuizi wameyatimba Madambwe yameondolewa Kibaha - Mlandizi.

Wazee wa Vizuizi wameyatimba Madambwe yameondolewa Kibaha - Mlandizi.

Songambele

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2007
Posts
4,710
Reaction score
2,587
Wazee wa vizuizi wameyatimba, Morogoro Road shwari Madambwe ya Rushwa na kubambikia Madereva vyeti yameondolewa.
Tumeshaandika thread nyingi humu kulalamika kuhusu Jeshi letu kuongeza barriers hatarishi humu na kukusanya 2,000 kwa madereva, jana tumeona shwari mpaka mlandizi hakuna hata kimoja. Dambwe lao la Visiga - Madafu limesababisha ajari mbaya kwa wajeda kupamia kichanja ambacho kimedhuru vijana wetu shupavu na kuharibu mali, wamekausha kama hakuna kilichotokea.

Mara nyingi tumesema na tunaendelea kusema Traffic Police wanasimamisha sana magari huku wakijua fika barabara zetu nyembamba na ni hatari ni bora wangeweka vituo maalum vya ukaguzi kupunguza hatari na usumbufu wanao sababisha barabarani. Hakuna haja ya kurudia tulisema nini kuhusu vizuizi vya polisi barabarani, ila Wajeda wametusaidia kwa vitendo japo imegharimu maisha ya watu.
Untouchables leo wameyatimba na Maokoto hakuna na zile sababu zao za ulinzi na usalama leo hawazioni.​
 
Wazee wa vizuizi wameyatimba, Morogoro Road shwari Madambwe ya Rushwa na kubambikia Madereva vyeti yameondolewa.
Tumeshaandika thread nyingi humu kulalamika kuhusu Jeshi letu kuongeza barriers hatarishi humu na kukusanya 2,000 kwa madereva, jana tumeona shwari mpaka mlandizi hakuna hata kimoja. Dambwe lao la Visiga - Madafu limesababisha ajari mbaya kwa wajeda kupamia kichanja ambacho kimedhuru vijana wetu shupavu na kuharibu mali, wamekausha kama hakuna kilichotokea.

Mara nyingi tumesema na tunaendelea kusema Traffic Police wanasimamisha sana magari huku wakijua fika barabara zetu nyembamba na ni hatari ni bora wangeweka vituo maalum vya ukaguzi kupunguza hatari na usumbufu wanao sababisha barabarani. Hakuna haja ya kurudia tulisema nini kuhusu vizuizi vya polisi barabarani, ila Wajeda wametusaidia kwa vitendo japo imegharimu maisha ya watu.
Untouchables leo wameyatimba na Maokoto hakuna na zile sababu zao za ulinzi na usalama leo hawazioni.​
Ilikuwaje mkuu ila nakuunga mkono kwenye usimamishaji hovyo washawahi kunisababishia ajali ujinga wao huo huo au wanajificha alafu ghafla wanatokea mbele ya bara bara
 
Wazee wa vizuizi wameyatimba, Morogoro Road shwari Madambwe ya Rushwa na kubambikia Madereva vyeti yameondolewa.
Tumeshaandika thread nyingi humu kulalamika kuhusu Jeshi letu kuongeza barriers hatarishi humu na kukusanya 2,000 kwa madereva, jana tumeona shwari mpaka mlandizi hakuna hata kimoja. Dambwe lao la Visiga - Madafu limesababisha ajari mbaya kwa wajeda kupamia kichanja ambacho kimedhuru vijana wetu shupavu na kuharibu mali, wamekausha kama hakuna kilichotokea.

Mara nyingi tumesema na tunaendelea kusema Traffic Police wanasimamisha sana magari huku wakijua fika barabara zetu nyembamba na ni hatari ni bora wangeweka vituo maalum vya ukaguzi kupunguza hatari na usumbufu wanao sababisha barabarani. Hakuna haja ya kurudia tulisema nini kuhusu vizuizi vya polisi barabarani, ila Wajeda wametusaidia kwa vitendo japo imegharimu maisha ya watu.
Untouchables leo wameyatimba na Maokoto hakuna na zile sababu zao za ulinzi na usalama leo hawazioni.​
Wajeda, wameyatimba, kichanja, wamekausha, madambwe!!!
Mkuu umeandika kishabiki, na bado hujaeleza tukio likoje na limetokea namna gani.
 
Wajeda, wameyatimba, kichanja, wamekausha, madambwe!!!
Mkuu umeandika kishabiki, na bado hujaeleza tukio likoje na limetokea namna gani.
sio kila jambo linasemwa kiweupe hivyo wengine hatutaki taabu na walimwengu, wenyewe wanao utaratibu wao wa kutoa taarifa ndio tunasubiria watoe taarifa. Humu tunachokoza ili watu wafunguke we kuwa na kaaba tu.
 
Wajeda, wameyatimba, kichanja, wamekausha, madambwe!!!
Mkuu umeandika kishabiki, na bado hujaeleza tukio likoje na limetokea namna gani.
Wajeda - wanajeshi, ila acha kuchokoza mengine yaache yaishie kwenye code tu! Gari la Jeshi limegonga lorry la kubeba kontena kwa nyuma. Ni ajari mbaya bhana na mpaka sasa hakuna taarifa yeyote ya ajali hiyo ingekuwa ni swala la kiraia hata wewe usingeuliza. Dambwe au kijiwe cha kukusanya rushwa kwa wana wa usalama hao. Hii sio tasnia yako
 
Wazee wa vizuizi wameyatimba, Morogoro Road shwari Madambwe ya Rushwa na kubambikia Madereva vyeti yameondolewa.
Tumeshaandika thread nyingi humu kulalamika kuhusu Jeshi letu kuongeza barriers hatarishi humu na kukusanya 2,000 kwa madereva, jana tumeona shwari mpaka mlandizi hakuna hata kimoja. Dambwe lao la Visiga - Madafu limesababisha ajari mbaya kwa wajeda kupamia kichanja ambacho kimedhuru vijana wetu shupavu na kuharibu mali, wamekausha kama hakuna kilichotokea.

Mara nyingi tumesema na tunaendelea kusema Traffic Police wanasimamisha sana magari huku wakijua fika barabara zetu nyembamba na ni hatari ni bora wangeweka vituo maalum vya ukaguzi kupunguza hatari na usumbufu wanao sababisha barabarani. Hakuna haja ya kurudia tulisema nini kuhusu vizuizi vya polisi barabarani, ila Wajeda wametusaidia kwa vitendo japo imegharimu maisha ya watu.
Untouchables leo wameyatimba na Maokoto hakuna na zile sababu zao za ulinzi na usalama leo hawazioni.​
ni swala la muda tu vitarudi na wasipovirudisha watabun njia nyingine mrad pesa iendelee kumiminika mifukon mwao
 
Wazee wa vizuizi wameyatimba, Morogoro Road shwari Madambwe ya Rushwa na kubambikia Madereva vyeti yameondolewa.
Tumeshaandika thread nyingi humu kulalamika kuhusu Jeshi letu kuongeza barriers hatarishi humu na kukusanya 2,000 kwa madereva, jana tumeona shwari mpaka mlandizi hakuna hata kimoja. Dambwe lao la Visiga - Madafu limesababisha ajari mbaya kwa wajeda kupamia kichanja ambacho kimedhuru vijana wetu shupavu na kuharibu mali, wamekausha kama hakuna kilichotokea.

Mara nyingi tumesema na tunaendelea kusema Traffic Police wanasimamisha sana magari huku wakijua fika barabara zetu nyembamba na ni hatari ni bora wangeweka vituo maalum vya ukaguzi kupunguza hatari na usumbufu wanao sababisha barabarani. Hakuna haja ya kurudia tulisema nini kuhusu vizuizi vya polisi barabarani, ila Wajeda wametusaidia kwa vitendo japo imegharimu maisha ya watu.
Untouchables leo wameyatimba na Maokoto hakuna na zile sababu zao za ulinzi na usalama leo hawazioni.​
Safi kabisa sometimes traffic anasimamisha gari na hazingatii kabisa sheria za usalama
 
Ilikuwaje mkuu ila nakuunga mkono kwenye usimamishaji hovyo washawahi kunisababishia ajali ujinga wao huo huo au wanajificha alafu ghafla wanatokea mbele ya bara bara
Sie tumefurahia barabara nyeupe jana hakukuwa na gozi gozi, mchana wajeda walikuwa wanaondoa gari lao nyuma ya kichanja Visiga wanapaita check point au kwa kipofu. Hili swala hata wananchi walioshuhudia wanaogopa kulitolea maelezo.
 
Wazee wa vizuizi wameyatimba, Morogoro Road shwari Madambwe ya Rushwa na kubambikia Madereva vyeti yameondolewa.
Tumeshaandika thread nyingi humu kulalamika kuhusu Jeshi letu kuongeza barriers hatarishi humu na kukusanya 2,000 kwa madereva, jana tumeona shwari mpaka mlandizi hakuna hata kimoja. Dambwe lao la Visiga - Madafu limesababisha ajari mbaya kwa wajeda kupamia kichanja ambacho kimedhuru vijana wetu shupavu na kuharibu mali, wamekausha kama hakuna kilichotokea.

Mara nyingi tumesema na tunaendelea kusema Traffic Police wanasimamisha sana magari huku wakijua fika barabara zetu nyembamba na ni hatari ni bora wangeweka vituo maalum vya ukaguzi kupunguza hatari na usumbufu wanao sababisha barabarani. Hakuna haja ya kurudia tulisema nini kuhusu vizuizi vya polisi barabarani, ila Wajeda wametusaidia kwa vitendo japo imegharimu maisha ya watu.
Untouchables leo wameyatimba na Maokoto hakuna na zile sababu zao za ulinzi na usalama leo hawazioni.​
Zali Hilo limehamia mjini Kahama kwenye bodaboda , yaani nikiwa safarini kwenda Bukoba , boda zaidi ya 200 zilipigwa Pini na maafande zaidi ya 20 hivi , na kila boda ni kutoa kumi kumi mwanakwetu !
 
Back
Top Bottom