Huo uwe na pesa asee
Hahah!! mia bossHizi mambo zinaunguza utumbo kuwa makini chief
Anza na konyagi kwanza alafu hizo zifuatieHizi bia tamu sana ila ukitaka zianze kuingia kichwani uwe na atleast si chini ya misimbazi 3View attachment 766455
Balimi ni Kwere Mkuuu watu wa Kanda maalum wanakwambia "BALIMI BIA YETU KANDA YETU"Wakuu ivi balimi ndo chama la wana au Safari lager