Wazee wa vyuma chakavu piteni hapa

Mechanic 97

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2021
Posts
854
Reaction score
1,296
Wakuu naomba kuuliza hizi bati siku hizi naona zimeandikwa Al-Zn je ni kweli sio chuma Bali ni alloy ya aluminum na zinc na pia ni bei Gani? Kwa kilo kama nikikusanya mabaki yake. Kutoka kwenye site ya ujenzi
 
Wakuu naomba kuuliza hizi bati siku hizi naona zimeandikwa Al-Zn je ni kweli sio chuma Bali ni alloy ya aluminum na zinc na pia ni bei Gani? Kwa kilo kama nikikusanya mabaki yake. Kutoka kwenye site ya ujenziView attachment 2782984
Kama ulikuwa bado hujaanza basi hujachelewa ila wenzio walishaanza kitambo. Unaweza kuwa unapita site unanunua vipande Kwa bei ndogo halafu unaenda kupima Kwenye mzani au unaenda kuuza Kwa wale wanaotengeneza majiko ya kupikia.
 
Kama ulikuwa bado hujaanza basi hujachelewa ila wenzio walishaanza kitambo. Unaweza kuwa unapita site unanunua vipande Kwa bei ndogo halafu unaenda kupima Kwenye mzani au unaenda kuuza Kwa wale wanaotengeneza majiko ya kupikia.
Shukrani Mkuu na wao wananunua Kwa TShs ngapi? Kwa Kilo Kwa kunamna ulivyo waona wao.
 
Ni chuma (steel alloy) ambayo ni coated with aluzinc alloy Kwa ajili ya kuzuia corrosion na sparking

Chukua sumaku jaribu kunasisha
Kweli Mkuu nimejaribu kimenasa sema Kwa ulaini huu inawezakua wamecoat wrought iron.
 
Hiyo ni bati lain Haina soko labda kwa magumashi .Yan uziponde ponde na kuzikunja ziwe ngumu ! Kama una dongo au betri na nunua hata ziwe Tani zote.

Karibu.
 
Hiyo ni bati lain Haina soko labda kwa magumashi .Yan uziponde ponde na kuzikunja ziwe ngumu ! Kama una dongo au betri na nunua hata ziwe Tani zote.

Karibu.
Upo wapi ? Na unanunua kwa TShs ngapi?
 
Bati kilo ni tsh 100 boss.
Chuma 700
Copper-13,000-15,000
Dongo 300-400
Betri 1500
Wakuu naomba kuuliza hizi bati siku hizi naona zimeandikwa Al-Zn je ni kweli sio chuma Bali ni alloy ya aluminum na zinc na pia ni bei Gani? Kwa kilo kama nikikusanya mabaki yake. Kutoka kwenye site ya ujenziView attachment 2782984
 
Nimeuza Leo Kwa 300/= ila wameniambia Nikiyabonda naweza uza hata 500
Inategemea eneo boss maana wengine wananunua nao wauze kwa faida.
Hata copper kuna maeneo waweza uza 13,000 na kwinginepo yaweza fika 16,000
 
Inategemea eneo boss maana wengine wananunua nao wauze kwa faida.
Hata copper kuna maeneo waweza uza 13,000 na kwinginepo yaweza fika 16,000
Shukrani Mkuu na aluminum ni Tshs ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…