Wazee wa Yanga wamejipanga sana, Hesri lazima atoke

Wazee wa Yanga wamejipanga sana, Hesri lazima atoke

Mr Alpha

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
273
Reaction score
765
Ishu ya wazee na Yanga ipo serious sana
Hii ni moja ya kurasa za hukumu ya mahakama ambayo inasema-

a) Kwamba, mahakama hii tukufu iombwe kutamka kwamba Bodi ya Wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans ambayo iko chini ya Katiba ya mwaka 2010 haina uwezo wa kisheria wa kusimamia na kuendesha shughuli za Klabu ya Michezo ya Young Africans.

b) Kwamba, Mahakama hii Tukufu iombwe kutamka kwamba shughuli na miamala yote iliyofanywa na wanachama wa Klabu ya Michezo ya Young Africans chini ya bodi ya wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans ambayo iko chini ya Katiba ya mwaka 2010 ni batili na haina nguvu za kisheria.

c) Kwamba, mahakama hii tukufu iombwe kuamuru Bodi ya Wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans chini ya Katiba ya mwaka 1968 kama ilivyorekebishwa mwaka 2011 kuendelea na jukumu lao la kusimamia na kuendesha shughuli za Klabu ya Michezo ya Young Africans.

d) Kwamba, mahakama hii tukufu iombwe kuamuru Bodi ya Wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans chini ya Katiba ya mwaka 1968 kama ilivyorekebishwa mwaka 2011 kuandaa, kuratibu na kuwezesha mkutano wa wanachama wa Klabu ya Michezo ya Young Africans kwa ajili ya uchaguzi wa wanachama wapya wa Bodi ya Wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans.

e) Gharama za kesi

f) Msaada wowote mwingine ambao Mahakama hii Tukufu itaona ni sawa na haki kutoa.
 
Wafuate sheria.

Mambo ya kihuni huni karne hii ya nini bwana.
 
Ishu ya wazee na Yanga ipo serious sana
Hii ni moja ya kurasa za hukumu ya mahakama ambayo inasema-

a) Kwamba, mahakama hii tukufu iombwe kutamka kwamba Bodi ya Wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans ambayo iko chini ya Katiba ya mwaka 2010 haina uwezo wa kisheria wa kusimamia na kuendesha shughuli za Klabu ya Michezo ya Young Africans.

b) Kwamba, Mahakama hii Tukufu iombwe kutamka kwamba shughuli na miamala yote iliyofanywa na wanachama wa Klabu ya Michezo ya Young Africans chini ya bodi ya wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans ambayo iko chini ya Katiba ya mwaka 2010 ni batili na haina nguvu za kisheria.

c) Kwamba, mahakama hii tukufu iombwe kuamuru Bodi ya Wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans chini ya Katiba ya mwaka 1968 kama ilivyorekebishwa mwaka 2011 kuendelea na jukumu lao la kusimamia na kuendesha shughuli za Klabu ya Michezo ya Young Africans.

d) Kwamba, mahakama hii tukufu iombwe kuamuru Bodi ya Wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans chini ya Katiba ya mwaka 1968 kama ilivyorekebishwa mwaka 2011 kuandaa, kuratibu na kuwezesha mkutano wa wanachama wa Klabu ya Michezo ya Young Africans kwa ajili ya uchaguzi wa wanachama wapya wa Bodi ya Wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans.

e) Gharama za kesi

f) Msaada wowote mwingine ambao Mahakama hii Tukufu itaona ni sawa na haki kutoa.
standard seven ya Mzee Kagoma ni sawa na Phd
 
Mzee Juma Kagoma (standard 7B) = now PHD .ndiye kagoma Eng,Hersi Said kuwa Rais wa Yanga na kafanikiwa
 
Ishu ya wazee na Yanga ipo serious sana
Hii ni moja ya kurasa za hukumu ya mahakama ambayo inasema-

a) Kwamba, mahakama hii tukufu iombwe kutamka kwamba Bodi ya Wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans ambayo iko chini ya Katiba ya mwaka 2010 haina uwezo wa kisheria wa kusimamia na kuendesha shughuli za Klabu ya Michezo ya Young Africans.

b) Kwamba, Mahakama hii Tukufu iombwe kutamka kwamba shughuli na miamala yote iliyofanywa na wanachama wa Klabu ya Michezo ya Young Africans chini ya bodi ya wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans ambayo iko chini ya Katiba ya mwaka 2010 ni batili na haina nguvu za kisheria.

c) Kwamba, mahakama hii tukufu iombwe kuamuru Bodi ya Wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans chini ya Katiba ya mwaka 1968 kama ilivyorekebishwa mwaka 2011 kuendelea na jukumu lao la kusimamia na kuendesha shughuli za Klabu ya Michezo ya Young Africans.

d) Kwamba, mahakama hii tukufu iombwe kuamuru Bodi ya Wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans chini ya Katiba ya mwaka 1968 kama ilivyorekebishwa mwaka 2011 kuandaa, kuratibu na kuwezesha mkutano wa wanachama wa Klabu ya Michezo ya Young Africans kwa ajili ya uchaguzi wa wanachama wapya wa Bodi ya Wadhamini ya Klabu ya Michezo ya Young Africans.

e) Gharama za kesi

f) Msaada wowote mwingine ambao Mahakama hii Tukufu itaona ni sawa na haki kutoa.
Waaache ujuaji watayumbisha club
 
1000140849.jpg


Haya TOPOLO RAIS WENU MPYA HUYO SIO INJIA HUYO NI DALALI WA VIWANJA MKONGWE😅😅😅
 
Back
Top Bottom