wazee wa zamani kidogo hii vipi nani unamkumbuka hapo!

yeah, mimi namkumbuka kidda waziri juma yule dada (siku hizi mama) mwimbaji, na bendi yao walikuwa wakipiga pia hapo vijana k'ndoni enzi hizoooo
 
Pamba moto awamu ya kwanza na ya pili..ipi ilikua moto zaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…