Wazee walilia dirisha la Matibabu Hospitali ya Wilaya ya Kiteto

Wazee walilia dirisha la Matibabu Hospitali ya Wilaya ya Kiteto

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Wazee Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, wameiomba Serikali kuangalia namna ya kufungua dirisha la wazee katika Hospitali ya Kiteto ili wazee waweze kupata huduma ya Afya kikamilifu.

Imeelezwa kuwa licha Serikali kuagiza uwepo wa dirisha maalum kwa ajili ya Wazee lakini hakuna huduma hiyo hali inayowapa wakati mgumu pindi wanapofika hospitalini kwa kulazimika kupanga foleni kama wahitaji wengine.

Akizungumzia hali hiyo, Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange ameutaka uongozi wa hospitali hiyo kuhakikisha unaweka dirisha kwa ajili ya Wazee ili kuondoa kero

Chanzo: EATV
 
Wazee Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, wameiomba Serikali kuangalia namna ya kufungua dirisha la wazee katika Hospitali ya Kiteto ili wazee waweze kupata huduma ya Afya kikamilifu.

Imeelezwa kuwa licha Serikali kuagiza uwepo wa dirisha maalum kwa ajili ya Wazee lakini hakuna huduma hiyo hali inayowapa wakati mgumu pindi wanapofika hospitalini kwa kulazimika kupanga foleni kama wahitaji wengine.

Akizungumzia hali hiyo, Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange ameutaka uongozi wa hospitali hiyo kuhakikisha unaweka dirisha kwa ajili ya Wazee ili kuondoa kero

Chanzo: EATV
Wazee wenzao wanapewa vyeo wao hata panadol hakuna

USSR
 
Wazee Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, wameiomba Serikali kuangalia namna ya kufungua dirisha la wazee katika Hospitali ya Kiteto ili wazee waweze kupata huduma ya Afya kikamilifu.

Imeelezwa kuwa licha Serikali kuagiza uwepo wa dirisha maalum kwa ajili ya Wazee lakini hakuna huduma hiyo hali inayowapa wakati mgumu pindi wanapofika hospitalini kwa kulazimika kupanga foleni kama wahitaji wengine.

Akizungumzia hali hiyo, Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange ameutaka uongozi wa hospitali hiyo kuhakikisha unaweka dirisha kwa ajili ya Wazee ili kuondoa kero

Chanzo: EATV
wazee wamesahaulika sana Serikali kuu hazina chini ya utawala wa ccm imeshindwa kuwahurumia na kuwalipa mafao yao sembuse hapo hospitali,wazee wanatia huruma wanashinda na vikofia na vikanga vya ccm hawana hata sabuni ya kufulia
 
Back
Top Bottom