Na hawa ccm walianzisha zoezi LA katiba mpya baada ya kuona katiba haitakua upande wao wakavuruga zoezi ndomana bora tujaribu sasa kumpigia kura kwa wingi huyu anayejinasibu kubadirisha katiba pengine tutaokoka na katiba mbovu kama hiiBila katiba mpya yenye kuteua tume huru hii ndoto tu! Kenya wanatucheka sana wa TZ! Timu ichague refa alafu awape ushindi upande mwingine? Tuamke tudai katiba mpya basi!
Pumabavu.unajifariji kama mgonjwa aliyeahidiwa kuwa dawa ua ukimwi imepatikana.hakuna mzee mwenye akili timamu atakayemuunga mkono Lissu.Labda wazee wa huko Londo ambao wamenyang'anywa hata mgombea wao wenyewe kwa kutumia hila.Dalili zote zinaonyesha CCM itaanguka uchaguzi huu na moja ya kiashiria kikuu ni wazee kukaa kimya kipindi Kama hiki.
Wameona ni Bora kutunza heshima zao ili hata Lissu akishinda Urais aweze kuendelea kuwapa stahiki zao.
Wanaona kabisa taratibu mgombea wao anavyozama na wao wanaona aibu kwenda kumnadi mtu asiyeuzika.
Wameshanusa nchi kwenda kwenye mikono sahihi ya utawala wa haki ambao hata wao watakuwa ni moja ya wanufaika wa mfumo huo.
Nawapongeza Sana wazee kwa kukataa kutumika uchaguzi mwaka huu.
Nawasihi pia Police TISS someni halama za nyakati Lissu sio Lowassa,Slaa, Mbowe,Lipumba au Mrema.
Umekula magimbi kwa maharagwe yasiyoiva ....Dalili zote zinaonyesha CCM itaanguka uchaguzi huu na moja ya kiashiria kikuu ni wazee kukaa kimya kipindi Kama hiki.
Wameona ni Bora kutunza heshima zao ili hata Lissu akishinda Urais aweze kuendelea kuwapa stahiki zao.
Wanaona kabisa taratibu mgombea wao anavyozama na wao wanaona aibu kwenda kumnadi mtu asiyeuzika.
Wameshanusa nchi kwenda kwenye mikono sahihi ya utawala wa haki ambao hata wao watakuwa ni moja ya wanufaika wa mfumo huo.
Nawapongeza Sana wazee kwa kukataa kutumika uchaguzi mwaka huu.
Nawasihi pia Police TISS someni halama za nyakati Lissu sio Lowassa,Slaa, Mbowe,Lipumba au Mrema.
Kwani stahiki zao ni Mali ya lisu we mweu kweli hiyo ipo kisheria .Dalili zote zinaonyesha CCM itaanguka uchaguzi huu na moja ya kiashiria kikuu ni wazee kukaa kimya kipindi Kama hiki.
Wameona ni Bora kutunza heshima zao ili hata Lissu akishinda Urais aweze kuendelea kuwapa stahiki zao.
Wanaona kabisa taratibu mgombea wao anavyozama na wao wanaona aibu kwenda kumnadi mtu asiyeuzika.
Wameshanusa nchi kwenda kwenye mikono sahihi ya utawala wa haki ambao hata wao watakuwa ni moja ya wanufaika wa mfumo huo.
Nawapongeza Sana wazee kwa kukataa kutumika uchaguzi mwaka huu.
Nawasihi pia Police TISS someni halama za nyakati Lissu sio Lowassa,Slaa, Mbowe,Lipumba au Mrema.
Zama hizo za Nyerere usingethubutu kumsema mkuu kwa lolote baya at least nowadays unaweza hata kumsema Rais mpaka kumwonbea umauti hadharani! Fegi tu ilikuwa deal ukiacha dawa ya meno!Ungekua mzee kweli ungejua hii nchi inaelekea wapi na inatoka wapi enzi za mwalimu tulijenga ofisi ili tuonyane ndani Leo heshima haipo kabisa MTU mzima anatukanwa hadharani ana make watoto na wakwe geuza uwe we we ungejisikiaje tuliangalia TV ya taifa Leo tunaangalia TV ya ccm watu waoga kwa kila kitu
Vipi mzee bado una hizi hoja zako?Dalili zote zinaonyesha CCM itaanguka uchaguzi huu na moja ya kiashiria kikuu ni wazee kukaa kimya kipindi Kama hiki.
Wameona ni Bora kutunza heshima zao ili hata Lissu akishinda Urais aweze kuendelea kuwapa stahiki zao.
Wanaona kabisa taratibu mgombea wao anavyozama na wao wanaona aibu kwenda kumnadi mtu asiyeuzika.
Wameshanusa nchi kwenda kwenye mikono sahihi ya utawala wa haki ambao hata wao watakuwa ni moja ya wanufaika wa mfumo huo.
Nawapongeza Sana wazee kwa kukataa kutumika uchaguzi mwaka huu.
Nawasihi pia Police TISS someni halama za nyakati Lissu sio Lowassa, Slaa, Mbowe,Lipumba au Mrema.
Mpumbavu utamtambua asubuhi na mapema.Dalili zote zinaonyesha CCM itaanguka uchaguzi huu na moja ya kiashiria kikuu ni wazee kukaa kimya kipindi Kama hiki.
Wameona ni Bora kutunza heshima zao ili hata Lissu akishinda Urais aweze kuendelea kuwapa stahiki zao.
Wanaona kabisa taratibu mgombea wao anavyozama na wao wanaona aibu kwenda kumnadi mtu asiyeuzika.
Wameshanusa nchi kwenda kwenye mikono sahihi ya utawala wa haki ambao hata wao watakuwa ni moja ya wanufaika wa mfumo huo.
Nawapongeza Sana wazee kwa kukataa kutumika uchaguzi mwaka huu.
Nawasihi pia Police TISS someni halama za nyakati Lissu sio Lowassa, Slaa, Mbowe,Lipumba au Mrema.
2025 ni mbali wakuu. Mmh. Haya yetu macho[emoji1241]Dalili zote zinaonyesha CCM itaanguka uchaguzi huu au ikishinda kiongozi mkuu atapata msukosuko mkubwa kutawala na mwisho wake ataanguka.
Uwenda kukawepo na mabadiliko makubwa hata kama dicteta atashinda uchaguzi huu kwa mabavu na anaweza asifike 2025.
Tatizo kubwa ni kukiuka katiba kutaka kubadilisha katiba na kuonea watanzania.
Wanaona kabisa taratibu mgombea wao anavyozama na wao wanaona aibu kwenda kumnadi mtu asiyeuzika.
Wameshanusa nchi kwenda kwenye mikono sahihi ya utawala wa haki kupitia upinzani au kupitia makamo wa rais ambao hata wao watakuwa ni moja ya wanufaika wa mfumo huo.
Nawapongeza Sana wazee kwa kukataa kutumika uchaguzi mwaka huu.
Nawasihi pia Police TISS someni halama za nyakati Lissu sio Lowassa, Slaa, Mbowe,Lipumba au Mrema.
Mkimnyima Uongozi kwa mabavu shinikizo lake linaweza kuleta mabadiliko makubwa kupitia mtu wenu
Tuendelee kuwepo.
Mkuu technically maneno yako yametimia. Ulitisha Sana.hata kama dicteta atashinda uchaguzi huu kwa mabavu na anaweza asifike 2025.
Sisi uwa tunaongea ila watu wanatuona mafala ila jamii forum ukiifatilia uwa wanatabiri yajayo sanaMkuu technically maneno yako yametimia. Ulitisha Sana.
We jamaa uko wapi?Ingekua keyboard warriors ndo wapiga kura pekee huyo kibaraka wenu wa mabeberu angetangazwa asubuhi tu lakini Bahati mbaya hatà robo ya wapiga kura hamfiki.
Hata sa hivi raisi hawezi kuthubutu kunyima uhuru wa kuongea. Ngoma drawZama hizo za Nyerere usingethubutu kumsema mkuu kwa lolote baya at least nowadays unaweza hata kumsema Rais mpaka kumwonbea umauti hadharani! Fegi tu ilikuwa deal ukiacha dawa ya meno!