Elections 2010 Wazee wamgeuka Malecela - Wanataka Asigombee Ubunge

So what kama wazee wa vyama vyote hivi including CCM yenyewe wanamuunga mkono Lameck then it is obvoius kwamba jamaa anakubalika.We shida yako ni kwani?mbona unatfutafata sana.Ulishachemsha CHADEMA then fanya mambo mengine..Unajipa presha bureeee,kupambna na chama kubwa kama CHADEMA,utawezaaaaaaa.
 
Ushauri peke yake hautoshi, Kama kweli hawa wazee wamemchoka mzee malecela asiwe mbunge wao watuonyeshe kwenye uchaguzi wa oct, kwa nini tuandikie mate na wino upo!!
 

Nadhani thread hii imejibiwa kwa vitendo na "wazee" wa mtera
 
mbunge wangu, punguza kidogo lugha hizi wewe sasa ni public figure usijisahau sana
 
mbunge wangu, punguza kidogo lugha hizi wewe sasa ni public figure usijisahau sana

ha ha ha.Soma vizuri lakini pia soma hiyo post ilikuwa ni ya lini..Hakuna kulala mpaka kieleweke
 
mbunge wangu, punguza kidogo lugha hizi wewe sasa ni public figure usijisahau sana
Anajishusha hadhi huyu dada, kesha anza kuchemsha chemsha na lugha za mtaani. Kaamua kujianika jina lake, inampa umaarufu lakini pia inakuja na gharama ya kujiheshimu.

Saa nyingine huwa nawaza, hivi msalie mtume Dr. Slaa akishinda urais, CHADEMA wataunda serikali na kina nani, watu kama huyu dada, na Sugu, na Mnyika, na Nakaaya Sumari?
 

Sawa Mkuu hayo ni mawazo yako.Umesoma vizuri au unadandia gari kwa nyuma?unaelewa maana ya kujishusha wewe?hivi kwani kiongozi hana moyo jamani?hebu acheni kuwa wanafiki,kwa bahati mbaya sana huwa siwezi kuwa mnafiki hata kidogo.Eti nikasirike halafu nisionyeshe kukasirika kwangu kisa eti public figure,ooh no.Hebu kuweni practical jamani tuache UNAFIKI.
 
Yesu na Mariaaa!

Hiyo ndio maana ya kutafuta ofisi za umma. Hujajifunza kwa Shy-Rose, sasa hivi wewe hata ukiambiwa unatafuta mume unatakiwa usirushe ngumi, kibao kitakugeukia wewe!

Tena kwa wewe inabidi ufanye kazi mara mbili, ukiwakawaka wanaume wa mfumo dume wa kwetu watasema aah, hawa wanawake mtima ndio zao. Huwezi kujiingiza kwenye mipasho mipasho halafu watu wakakuchukulia kama mtu makini. Moja ya sababu kubwa Obama (hata Kikwete pia) kushinda ni kwa vile alionekana hana hulka ya kuwaka waka ovyo. Tuliza boli. Madongo utakayopigwa yatakusaidia.

Na kumbuka CCM hawajaanza "vita" bado, wamo humu, Makamba atachapisha kurasa zako unazo waka waka atasema ni watoto wa mtandaoni hawa hawana lolote zaidi ya mipasho. Isitoshe bado mtandao wa Tanzania uko chini ya wingu la Utamu, watatujumlisha. Unacheza na chama chenye uzoefu toka walipoanza kuhangaika na Waingereza 1929?
 
mmmh yangu macho. NAONA KAMPENI ZIMEANZA, CHA MUHIMU TUSITOANE MACHO, TUBISHANE KWA HOJA:doh::bowl::yield:NADHANI NIMEELEWEKA
 
Ameikosa hiyo heshima maana hata kama akipewa ni baada ya kugaragazwa. Hilo ndio tatizo la kukosa hekima ya kusoma alama za nyakati. Kwangu mimi TingaTinga bado ana heshima kubwa. Ila amekosea kutoona au kuamua kudharau ukweli kuwa wazee wakae pembeni badala ya kuendelea kuwa political machinery mpaka dakika za mwisho.
 
Leo nilikuwa nafuatilia News kutoka Gazeti letu THE CITIZEN.. nikaona picha kuuubwa ya muheshimiwa sana John Malecela. na kuona maandishi makubwa yakiandika MALECELA'S FALL: WHT IT MEANS.. " it could be an indication that people are tired, not only with old faces, but also CCM as a Party'

nikaendelea kutafuta Informations nikaona kwenye Blog moja inasema "Mkongwe wa siasa Tanzania na mbunge wa zaidi ya miaka 35 John Malecela amebwagwa katika Jimbo la Mtera na Kijana mdogo ambaye anaweza kuwa ni kama mtoto wake.

Sasa hii siaibu hii?

Silver
 
Aibu kubwa mno, tatizo hawezi kusoma alama za nyakati. mbona wakina mzindakaya waliamua kuachia mapema maana walishaona upepo umebadili uelekeo.
 
ndo mwanzo tu huo...si anajifanya tingatinga
 
Kwenye kugombea kuna kushinda na kushindwa.....mbona Matumla sasa hivi watu wanamdunda tu na hataki kustaafu....ndio hivo tena
 
Ndio tatizo la wanasiasa wetu wa nchi hii,wanataka wazeekee Bungeni bila kujali kuwa kuna watu wengine hasa vijana ambao wana uwezo mkubwa tu wa kuwawakilisha wananchi.
Natumai mpaka sasa bado ch..... inambana na haamini kilichotokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…