Wazee wanaooa mabinti wadogo wanaweza kwenda na kasi ya mabinti?

Wazee wanaooa mabinti wadogo wanaweza kwenda na kasi ya mabinti?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Habari zenu wakuu,

Nimeenda wilaya flani kwa mara ya pili hivi na nimejionea kuna wazee wana wake wadogo, unakutata mzee ni miaka 52 ila binti ni 23.

Nimepewa stori kadhaa kwamba huku sio kama mjini tumeshazoea kuchapiana, yani huku watu waliooa hasa wazee wamejidhatiti na hii imesaidia hata vijana kupiga breki kwa mabinti walioolewa kwa hio kuhusu suala la show anaesimamia huwa ni mme halali. Sasa nikawa nawaza, hawa wazee wanaweza kwendana na mahitaji ya hawa mabinti?

Lakini pia tukiachana na suala zima la show, tukumbuke kwamba ndoa ni zaidi ya show, huwa kuna maisha ya ndoa ambayo mabinti wengi hupenda kuyaishi kwenye ndoa zao. Je, hawa wazee wa vizazi vilivyopita wanaweza kuendana na mambo ya mabinti wa kisasa?
 
Tamaa ya papuchi! Yaani wanaume tuna tamaa fisi aende tuition!
Kuna sababu kibao za kuongeza mke kwa hawa wazee, kwa vijana hio kitu inahusika sana ila kwa wazee kwenye ndoa wanatafuta vya ziada
 
Me akishabalehe, umri unabaki kuwa illusion.

Kama unajitunza vizuri, jinsi umri unavyozidi kusogea ndivyo utavyoweza kuwahandle hawa walimbwende.

Vijana hufikiri wazee hamna kazi, wazee nao hufikiri vijana hamna kitu.
 
mabinti wenye chips yai na savannah. ukipiga bao mbili wanalalamika oh mbona unasimamia kucha mbususu yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23]
 
Wilaya ipi hiyo
Tengeru hiyo
20221213_130631.jpg
 
Back
Top Bottom