Mambo yaendelea kuripoti matukio mbalimbali yanayoendelea mtaani kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambapo Katika Kata ya Mapinga, mmoja wa wapiga kura amesema, wazee wamepewa kipaumbele.
Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024