Wazee wawataka mangungu, try again wajiuzulu

Wazee wawataka mangungu, try again wajiuzulu

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
24,262
Reaction score
58,728
Baada ya Mnyama Simba Sc kupokea kipigo cha goli 1-5 dhidi ya Wananchi Yanga Sc, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara uliopigwa wikiendi iliyopita

Wazee wa Klabu ya Simba maarufu kama Wazee wa Simba, wamewataka viongozi wa Simba akiwemo Mwenyekiti wao Murtaza Mangungu na Try Again wajiuzulu nafasi zao kwa kile walichodai kuwa ni uzembe kwa kushindwa kuiongoza klabu hiyo

Wazee hao wamesisitiza kuwa wanawapa masaa 24 viongozi hao wawili wajiuzuru kwa hiyari yao ili kulinda heshima zao

By kishamba media
 
Kwa maslahi mapana ya Dar es salaam Young Africans, HAO WAZEE WASIJIUZULU. Wanapiga kazi sanaa
 
Kishamba anakuja vizuri kwenye kuleta hizi Taarfa ..Mungu amulinde na azidi kukuongezea Maarifa upite hizo media za kina Oscar oscar,Media au page zinaandika hadi NYETO na VUMBI LA KONGO.
 
Baada ya Mnyama Simba Sc kupokea kipigo cha goli 1-5 dhidi ya Wananchi Yanga Sc, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara uliopigwa wikiendi iliyopit...
Hao wazee ni njaa tupu. Wanatumia na MO pamoja na wanaojiita Frirnds of Simba. Lengo kuu ni yule bwana aliyeshindwa uchaguzi aongoze SSC japo kwenye kua alishindwa.

Hata ile kamati aliyounda MO eti kumshauri haikuwa n lengo zuri. Mahasimu unawaeka pamoja eti wasaidie timu shinde
 
Back
Top Bottom