Shozylin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 341
- 699
Yeye: habari.
Mimi: Salama karibu
Yeye : Asante huku aangaza nje ya mabango yaliyo nje ya milango, nakuuliza M-pesa ipo au hakuna.
Mimi: ipo unataka ku...?
Yeye: Aah sawa ili atoe 15,000 inabidi awe na sh ngap?
Mimi: Awe na 16,500
Yeye: Namba ya wakala ni iko wapi huku anapiga smu akitaka kutajia mteja?
Mimi: nikamuuliza yeye anae toa yupo wapi?
Yeye; yupo ( .....) Anataja wilaya nyingine ndani ya mkoa tuliopo.
Mimi: Natafakari nikamuuliza kwanini Asikutumie wewe pesa ili wewe ndo uotoe?
Yeye: Shii, hayo ni maswali ya ziada, ivi wewe unafanya kazi au hufanyi kazi, nikakaa kimya nikikuamcha amalize kuongea. Kama hufanyi kazi sema niende kwingine.
Mimi: Basi sawa we nenda kwingine tu ukahudumiwe.
Wazee wenzangu wa biashara hizi za kifedha na iana zozote biashara hua mna solve vip mnapo kutana na wateja wa aina hii.
NB: hua hairuhusiwi kutuma au kutoa pesa kwa mteja alipo mbali.
Mimi: Salama karibu
Yeye : Asante huku aangaza nje ya mabango yaliyo nje ya milango, nakuuliza M-pesa ipo au hakuna.
Mimi: ipo unataka ku...?
Yeye: Aah sawa ili atoe 15,000 inabidi awe na sh ngap?
Mimi: Awe na 16,500
Yeye: Namba ya wakala ni iko wapi huku anapiga smu akitaka kutajia mteja?
Mimi: nikamuuliza yeye anae toa yupo wapi?
Yeye; yupo ( .....) Anataja wilaya nyingine ndani ya mkoa tuliopo.
Mimi: Natafakari nikamuuliza kwanini Asikutumie wewe pesa ili wewe ndo uotoe?
Yeye: Shii, hayo ni maswali ya ziada, ivi wewe unafanya kazi au hufanyi kazi, nikakaa kimya nikikuamcha amalize kuongea. Kama hufanyi kazi sema niende kwingine.
Mimi: Basi sawa we nenda kwingine tu ukahudumiwe.
Wazee wenzangu wa biashara hizi za kifedha na iana zozote biashara hua mna solve vip mnapo kutana na wateja wa aina hii.
NB: hua hairuhusiwi kutuma au kutoa pesa kwa mteja alipo mbali.