Wazibiti ubora wa shule

Wazibiti ubora wa shule

Rocky City

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2017
Posts
892
Reaction score
683
Nimeshangaa sana leo nilipo pata na kufuatilia taarifa hii ya hawa wanaoitwa wazibiti ubora wa shule...baada ya kujua kazi na wajibu wao katika utendaji wao wa kazi..kumbe ni watu wenye umuhimu na majukumu makubwa ya kusimamia elimu kwa ujumla..bado katika mfumo wao wa utendaji uwezo mdogo sana ukizingatia kuwa hawa hawa huenda kukagua sekondari si vibaya lakini viwango vyao vya elimu ukilinganisha na wanao kwenda kuwakagua tofauti kabisa..mkaguzi ana form 4 na cheti cha ualimu uzoefu kazini anakwenda kukagua mwalmu mwenye shahada na zaidi nini mayoke yake???[emoji54][emoji54][emoji54] lakini cha ajabu kumbe kuna chuo ambacho hata chenyewe sifa zake za kujiunga ni hizo hizo ni form 4 na cheti cha ualimu kinatoa wahitimu hawa lakini hawana impact yoyte waliopo ni walimu wa kawaida ambao hawana hata mafunzo ya ukaguzi!!! nashauli serikali chuo hiki kinacho toa kozi hii kingegeuzwa na kuwa chuo cha ufundi veta kingeenda sambamba na sera ya mkuu ya viwanda na kingeleta tija katika maendeleo ya taifa...mbadala wake kozi hii itolewe kwa ngazi ya shahada au zaidi katika vyuo maalumu..
 
Nimeshangaa sana leo nilipo pata na kufuatilia taarifa hii ya hawa wanaoitwa wazibiti ubora wa shule...baada ya kujua kazi na wajibu wao katika utendaji wao wa kazi..kumbe ni watu wenye umuhimu na majukumu makubwa ya kusimamia elimu kwa ujumla..bado katika mfumo wao wa utendaji uwezo mdogo sana ukizingatia kuwa hawa hawa huenda kukagua sekondari si vibaya lakini viwango vyao vya elimu ukilinganisha na wanao kwenda kuwakagua tofauti kabisa..mkaguzi ana form 4 na cheti cha ualimu uzoefu kazini anakwenda kukagua mwalmu mwenye shahada na zaidi nini mayoke yake???[emoji54][emoji54][emoji54] lakini cha ajabu kumbe kuna chuo ambacho hata chenyewe sifa zake za kujiunga ni hizo hizo ni form 4 na cheti cha ualimu kinatoa wahitimu hawa lakini hawana impact yoyte waliopo ni walimu wa kawaida ambao hawana hata mafunzo ya ukaguzi!!! nashauli serikali chuo hiki kinacho toa kozi hii kingegeuzwa na kuwa chuo cha ufundi veta kingeenda sambamba na sera ya mkuu ya viwanda na kingeleta tija katika maendeleo ya taifa...mbadala wake kozi hii itolewe kwa ngazi ya shahada au zaidi katika vyuo maalumu..
Duh, umeongea point mkuu.
 
mkuu unafikiri vinavyo kwenda kukaguliwa vinaitaji mtu kuwa na elimu kubwa?
 
kuna mdhibiti ubora kanda ya ziwa mama fulani jina kapuni ana diploma lakini anataka kuwapiga msasa na kuwachalenji walimu wenye digrii. akihojiwa anakuwa mbogo.
 
kuna mdhibiti ubora kanda ya ziwa mama fulani jina kapuni ana diploma lakini anataka kuwapiga msasa na kuwachalenji walimu wenye digrii. akihojiwa anakuwa mbogo.
Ndugu yangu tambua kuwa mtu aliye Anza na ngazi ya cheti na baadae akapiga diploma anakuwa na uwezo mkubwa kuliko yule Alie enda Moja kwa moja degree fuatilia Hilo harafu utaniambia
 
Nimeshangaa sana leo nilipo pata na kufuatilia taarifa hii ya hawa wanaoitwa wazibiti ubora wa shule...baada ya kujua kazi na wajibu wao katika utendaji wao wa kazi..kumbe ni watu wenye umuhimu na majukumu makubwa ya kusimamia elimu kwa ujumla..bado katika mfumo wao wa utendaji uwezo mdogo sana ukizingatia kuwa hawa hawa huenda kukagua sekondari si vibaya lakini viwango vyao vya elimu ukilinganisha na wanao kwenda kuwakagua tofauti kabisa..mkaguzi ana form 4 na cheti cha ualimu uzoefu kazini anakwenda kukagua mwalmu mwenye shahada na zaidi nini mayoke yake???[emoji54][emoji54][emoji54] lakini cha ajabu kumbe kuna chuo ambacho hata chenyewe sifa zake za kujiunga ni hizo hizo ni form 4 na cheti cha ualimu kinatoa wahitimu hawa lakini hawana impact yoyte waliopo ni walimu wa kawaida ambao hawana hata mafunzo ya ukaguzi!!! nashauli serikali chuo hiki kinacho toa kozi hii kingegeuzwa na kuwa chuo cha ufundi veta kingeenda sambamba na sera ya mkuu ya viwanda na kingeleta tija katika maendeleo ya taifa...mbadala wake kozi hii itolewe kwa ngazi ya shahada au zaidi katika vyuo maalumu..
Bado nakukanusha kwa point zako za kitoto hapo hujaongea la maana hata kidogo unapo sema mkaguzi ujue amepitia mafunzo kwahyo anautofauti mkubwa na wew ulie somea degree ya elimu .....tufike wakati tukubali matokeo
 
Nimeshangaa sana leo nilipo pata na kufuatilia taarifa hii ya hawa wanaoitwa wazibiti ubora wa shule...baada ya kujua kazi na wajibu wao katika utendaji wao wa kazi..kumbe ni watu wenye umuhimu na majukumu makubwa ya kusimamia elimu kwa ujumla..bado katika mfumo wao wa utendaji uwezo mdogo sana ukizingatia kuwa hawa hawa huenda kukagua sekondari si vibaya lakini viwango vyao vya elimu ukilinganisha na wanao kwenda kuwakagua tofauti kabisa..mkaguzi ana form 4 na cheti cha ualimu uzoefu kazini anakwenda kukagua mwalmu mwenye shahada na zaidi nini mayoke yake???[emoji54][emoji54][emoji54] lakini cha ajabu kumbe kuna chuo ambacho hata chenyewe sifa zake za kujiunga ni hizo hizo ni form 4 na cheti cha ualimu kinatoa wahitimu hawa lakini hawana impact yoyte waliopo ni walimu wa kawaida ambao hawana hata mafunzo ya ukaguzi!!! nashauli serikali chuo hiki kinacho toa kozi hii kingegeuzwa na kuwa chuo cha ufundi veta kingeenda sambamba na sera ya mkuu ya viwanda na kingeleta tija katika maendeleo ya taifa...mbadala wake kozi hii itolewe kwa ngazi ya shahada au zaidi katika vyuo maalumu..
Umewahi kuwauliza hao wathibiti Ubora?
 
Bado nakukanusha kwa point zako za kitoto hapo hujaongea la maana hata kidogo unapo sema mkaguzi ujue amepitia mafunzo kwahyo anautofauti mkubwa na wew ulie somea degree ya elimu .....tufike wakati tukubali matokeo
Mbona kwenye degree ya elimu nimeona kuna hilo somo la ukaguzi na uthibiti ubora wa elimu naisi wangekuwa wanawapa wao tenda ufanisi ungeongezeka
 
Kazi ya uthibiti ubora hawapewi fresh from school wana miongozo na miiko yao , na kwa sasa vigezo vinaanzia uwe na degree ya elimu na sio vinginevyo , sasa unaposema diploma inatoka wapi??? Zaidi ya chuki za ajabu ajabu , uthibiti ubora ni moyo wa Taaluma ktk elimu
 
Hoja zingine huwa ni za kipuuzi Sana. Wewe umeshasema ni mkaguzi. Au mdhibiti ubora. inamaana huyo mtu anaujuzi na KAZI yake. Hapo shaka yako ninii.
 
Kwani bado Kuna wathibiti ubora wenye diploma? Basi sawa🤣🤣
 
Back
Top Bottom