Tetesi: Wazimbabwe hawatakuwa salama wakimbeza Mugabe

ally pazy

Member
Joined
May 24, 2014
Posts
17
Reaction score
27


WA N A N C H I wa Zimbabwe wameaswa kumheshimu Rais wa zamani wa nchi hiyo, Robert Mugabe kutokana na kiongozi huyo kutumia muda mwingi wa maisha yake kushughulikia matatizo ya nchi hiyo, licha ya changamoto za hapa na pale.

Miongoni mwa mambo yanayotajwa kufanywa na Mugabe kwa nia ya kuwapigania Wazimbabwe hata kudiriki kuweka rehani maisha yake ni pamoja na vita vya kulikomboa taifa hilo kutoka kwa ukoloni wa Kiingereza, vita dhidi ya maliasili za nchi hiyo ikiwemo ardhi hadi kuasisiwa kwa vita vya Chimulenga.

WAZIMBABWE HAWATAKUWA SALAMA WAKIMBEZA MUGABE
 
Huyo ni baba wa Taifa la Zimbabwe lazima wamuheshim.
 
Nadhani wakimpa heshima hawatapungukiwa na kitu kuliko kumdharau mzee wa watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…