MwanaHabari
JF-Expert Member
- Nov 9, 2006
- 442
- 13
Yet another attempt to try remove the president and mkapa from these allegations, wanadhani watu wajinga na hawafahamu ukweli. Those two are in it from the start, anyone remember the dramatic u-turn of mkapa when he gave the speech supporting JK for president, i wonder how much of the EPA money had he received by then to make him do that...
Asante sana Waziri uliachwa, kwa haya mambo ambayo inawezekana ni ya kweli kabisa!
Lakini huyu Mwanasiasa si mpiganaji wa wananchi wake na ninaweza kumuita ni mnafiki, kwa sababu haya yote aliyajua toka hata kabla ya uchaguzi, na ameingia madarakani na kukaa miaka miwili bila kuyaeleza haya, lakini leo hii kaachwa kwenye uwaziri ndo anatueleza, huu ni ujinga tena sana
Tunashukuru na kama Kawaida ya JF linafanyiwa kazi, lakini muwe na moyo wa kupigania nchi yenu na kukosoa mambo yote pale yanapotokea, sio baada ya kukosa ulaji ndo mnasema
Ngoja tuone sasa kuhusu hili pia
Jamani huyu jamaa mbona anatufanya wana JF wajinga?. Hivi kweli huyo Jakaya Kikwete alifanya kampeni ya nguvu na kifahari bila kujua pesa za kampeni zilitoka wapi na akina nani walimpa pesa hizo?.
Jakaya lazima alijua pesa za kampeni zilitoka wapi na akina nani walitoa pesa hizo. Na bila shaka pesa za EPA ndizo zilizofanya kampeni ya CCM sababu kwanini wahusika katika uchafu huu wanatandikiwa carpet jekundu na kuombwa kwa heshima na taadhima ili warudishe pesa hizo na bila kutajwa majina?. Mpaka sasa kwanini aliyekuwa gavana wa BOT Mr Balali amefichwa?.
Na pia inaonesha kabisa zilizochotwa hapo BOT ni zaidi ya sh bil 133 hivyo watanzania tungeomba uchunguzi ufanywe tena na kwa makini zaidi.
Yaaani article zingine bwana, wakuu JF sasa tunahitaji kuwa macho maana tumeingiliwa, hawa waandishi uchwara sasa ni kuwapiga mawe tu waende an article zao za vichochoroni,
Ukweli ni kwamba sasa hivi bongo kuna kaazi kweli kweli, naiskia viongozi karibu wote wananunua waandishi, kila kona kuna vikundi vya kisiasa vinapigana vita, sasa ni wajibu wetu wananchi kuwa macho on what is ours kwenye hivi vita vyao, ama sivyo tutaishia kua victim wa tusichoelewa, I mean how low can it go?
hizi article za namna hii sasa zimekosa hata pa kuziweka, wanajaribu kuzileta huku, dawa ni kuwapiga mawe, kama kuna waziri ana uchungu na taifa basi aseme yeye ni nani sio asitajwe jina halafu wanaturushia pumba hapa, I mean thanx kwa waliotangulia kwa kuweka hii ishu inapotakiwa.
JK fisadi,Mbowe Fisani!Kila kiongozi nchi hii fisadi!tume laaniwa?
Yaaani article zingine bwana, wakuu JF sasa tunahitaji kuwa macho maana tumeingiliwa, hawa waandishi uchwara sasa ni kuwapiga mawe tu waende an article zao za vichochoroni,
Ukweli ni kwamba sasa hivi bongo kuna kaazi kweli kweli, naiskia viongozi karibu wote wananunua waandishi, kila kona kuna vikundi vya kisiasa vinapigana vita, sasa ni wajibu wetu wananchi kuwa macho on what is ours kwenye hivi vita vyao, ama sivyo tutaishia kua victim wa tusichoelewa, I mean how low can it go?
hizi article za namna hii sasa zimekosa hata pa kuziweka, wanajaribu kuzileta huku, dawa ni kuwapiga mawe, kama kuna waziri ana uchungu na taifa basi aseme yeye ni nani sio asitajwe jina halafu wanaturushia pumba hapa, I mean thanx kwa waliotangulia kwa kuweka hii ishu inapotakiwa.
Makala hii ina janja ya kumengua MH JM Kikwete kwenye so la EPA.
Mimi siukubali utetezi huo na ninaomba wote tuukatae utetezi muflisi huu.
Kikwete ameshiriki kwenye huu uchafu wa EPA kikamilifu, hizi ni juhudi za mtandao wao kumwosha kwa maji ya tope wakitegemea kumtakasa na kumnusuru na jinamizi la EPA.
Hii ni serikali ya Maharamia,Wahuni na wababaishaji ambao lengo lao ni moja tu; Kudumaza na kudhoofisha maendeleo ya Watanzania na kutengeneza tabaka la viongozi watakao ongoza nchi kwa kupokezana.
Kuna dalili nyingi za watendaji wa serikali kujaribu kumwepusha Kikwete na Majnga ya kujitakia na kumuenzi hata pale asipo sitahili.
Ni kikwete huyu huyu alijaribu kujiosha kwa waumini wa Kikrsto kwamba yeye hana mkono na ahadi za SISIEMU katika ilani yake ya uchaguzi za kuunda aMahakama ya Kadhi na kudai asili ya wazo hilo ni MH Mrema.
Huu nimwaka 2008 Mrema bado yupo SISIEMU?
Tuchukulie kwamba bado yupo SISIEMU, Mrema ana nguvu gani ya kuinfluensi hoja hiyo?
Bila kusita naweza kusema watu wanaojaribu kumwosha rais kutoka kwenye lundo la Uchafu wa SISIEMU ni walevi wa madaraka na ni watu wasio jari matokeo ya uchambuzi wa ushauri wao.
Kikwete mwenyewe anaonyesha udhaifu mkubwa wa upeo wa kushindwa kutathmini mambo mengi yanayo mkabiri yawe ni yake binafsi au ya kitaifa.
Uwezo wake wa kufikiri na kutafakari nadhani ulisha gusa Glass Ceiling siku nyingi zilizo pita. Kazi tuliyomkabidhi iko juu mno ya uwezo wake wa kufikiri, kiasi kwamba ili afikiri na kuamua nini cha kufanya wazembe na maopportunists wengi wanaomzunguka ndio hujitwalia kazi hiyo inayoachwa wazi na uwezo wake kugusa Glass Ceiling limit.
Sikubaliani na maneno ya waziri asiye tajwa katika harakatui zake za kujifanya anafichua siri na katika juhudi zake zilizo msingi wa hoja za kumengua Rais Kikwete kutoka kwenye Uoza wa serikali na chama chake.