UDOM....AFWATILIE, tena AHOJI WANAFUNZI kama kweli waligoma kusaini vitabu vya majina kupewa mikopo..yeye mwenyewe, achukue sampo ya walionyimwa vyeti.:director:
wenzenu bodi na chuo wanaubiri ikipita huu upepo wale mabilioni ya mikopo ya wanafunzi
Heading ni tofauti na ulichoandika,of-course tz ni nchi ambayo mjanja yeyote kutoka nje anaweza kuja na kukaa so kama kiswahili ni kigumu funguka hata kwa lugha za kwenu kule congo,somalia,ethiopia, nk 2tajaribu kukupata 2.