Waziri apanda kizimbani: ...Kisa cha SANGAM SECURITAS!

Mzee Mwanakijiji, heshima mbele. Mzee nimekukubali na umekubalika. Kalamu imeshikika, taaluma, kipaji na uwezo wa uandishi ndio mahali pake na mwanga wa kisheria pia umesimama!.
Jana nilimsikiliza huyu Mhe. akijifagilia pale Clouds,nikasema bado hajakutana na waulizaji maswali. Japo sijaweza kuacess padomatic yako (Nokia E 90 bure kabisa), nakiri wewe ni muulizaji maswali mahiri. Mtafute Masha umkamue tuupate ukweli.
Pia nakushauri, fanya mawasiliano na vituo vya Radio home ili zile live zako, ziwe live broadcsast home na wengi tufaidike.
TBC wako mbioni kuanzisha live interactive programs. Tayari wameanza na Dar- Dodoma wakati wa Bunge na Dar-Arusha wakati wa Sullivan. Baada ya kuilink mikoa yote, watalink na EAC na hatimaye Global na hapa ndipo tutaweza kuipata michango halisi ya wenzetu mlio nje katika ujenzi wa Taifa letu.
Asante Mzee Mwanakijiji.
 
Mzee Mwanakijiji heshima mbele mkuu. Ningewashauri vijana wanaosomea sheria katika vyuo vyetu na mawakili wajitahidi kufuatilia ubunifu wako ili waweze kujifunza jinsi ya kuuliza maswali mahakamani mpaka mtuhumiwa anajifunga kamba mwenyewe kama MADUSHA alias Masha anavyojitundika mwenyewe kwa kushindwa kujibu namna alivyowasilishiwa malalamiko na wakola wake wa Sangam!! Mkuu kwa mara nyingine tena hongera na endeleza ubunifu wako ili nasi tuambulie angalau kidogo humo humo.
 
ngosha,

nakupaga mapongezi marefu kama mabugando ya maminara mapacha ya daslam

NB: Muulize huyo waziri kuwa hivi yule kaka (sijui baba yeake mdogo) anayevuka kila siku kutoka Kamanga ferry kwenda Mza mjini na kushinda tu Mza Hotel kaacha utapeli wake? Au na waziri ndio kaanza kufuata nyayo?
 
Mwandishi kanjanja..


kuna sehemu umetaja jina la masha na juu umedanika jina lingine.Mkapa alishamaliza kusema zamani,kuna baadhi ya watu wana wivu wa kike,yaani mtu bila sababu tu anaazalkuandika habari ya kufikirika bila hata ya kuwa na soni
 
Mwandishi kanjanja..


kuna sehemu umetaja jina la masha na juu umedanika jina lingine.Mkapa alishamaliza kusema zamani,kuna baadhi ya watu wana wivu wa kike,yaani mtu bila sababu tu anaazalkuandika habari ya kufikirika bila hata ya kuwa na soni

Naomba kurudia tena,

Labda ni mtazamo na matatizo yangu binafsi, lakini wivu juu ya uwezo wa mtu kwa kitu ambacho si nje ya mwili, yaani anacho kichwani, mikononi, miguuni au sehemu yoyote katika mwili si kitu chema wala cha kufurahia. Maana hata ukifanya vipi huwezi hata kuongeza urefu wa hata nywele yako.

Lakini kwa upande wa pili, wivu juu ya vitu vipatikanavyo nje ya mwili yaani magari, website au mali kwa ujumla si mbaya sana maana ukiutumia vema unakuletea maendeleo.

Nisivuruge mada, natanguliza samahani, huu ni mtazamo tu!

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-dr-tarab-wafanyiwa-umafia-13.html#post370774
Pongezi Mwanakijiji
 
hii tuifanye screen play jamani ni bonge ya movie naona kama ile ya Few Good Men
 
Mwandishi kanjanja..


kuna sehemu umetaja jina la masha na juu umedanika jina lingine.Mkapa alishamaliza kusema zamani,kuna baadhi ya watu wana wivu wa kike,yaani mtu bila sababu tu anaazalkuandika habari ya kufikirika bila hata ya kuwa na soni


Gembe

Bila sababu?!, real?

Tatizo liko wapi? Kutaja jina au wivu?
Labda mie ninakusoma kinyumenyume! Vinginevyo wenzako tumefurahia na kujifunza kutokana na utunzi huu wa kufikirika. Kwamba inakuwa hivi wakati wa baridi na je wakati wa joto?

Big ups Mwanakijiji. Thanks.
 
Mkubwa wewe ni kichwa.(mbunifu mkali sana)
Endelea kutoa changamoto zako.
 
Mwanakijiji kiboko....duuuu!! KWANINI HII kitu usiiweka kama kajitabu ili iwe kumbu kumbu hata kwa vizazi...Good work great thinking

Masa
 
Kweli sheria msumeno katika nyakati fulani fulani, Masha ni mwanasheria lakini mwanasheria mwenzie bongo kamchezesha kidedea katika dakika chache tu, akapanick na kujibu kwa hasira, hapo kimbembe anacho.
Hii inaonyesha, kuwa kuna 'KUNA NURU GIZANI'
 

...a few good men!

standing ovation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…