Waziri Aweso afanya kikao kazi na Wazabuni, Wakandarasi na watoa huduma wa DAWASA na kusikiliza changamoto zao

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
Waziri wa Maji, Mhe Jumaa Aweso (Mb) amefanya kikao kazi na Wazabuni, Wakandarasi na watoa huduma wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) kwa lengo la kusikiliza ushauri, changamoto kwa dhamira ya kudumisha msingi imara wa mahusiano na mashirikiano.
 

Attachments

  • IMG-20240826-WA0019.jpg
    80.8 KB · Views: 1
  • IMG-20240826-WA0020.jpg
    131.9 KB · Views: 1
  • IMG-20240826-WA0017.jpg
    127 KB · Views: 1
  • IMG-20240826-WA0021.jpg
    109.8 KB · Views: 1
  • IMG-20240826-WA0015.jpg
    200.2 KB · Views: 1
Nchi nzima kuna changamoto ya malipo ya Wakandarasi. Tunaelekea pabaya na hela hamna mitaani kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…