peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Wanajuana kwenye mgao hao. Wanawaona wananchi wajingaUkifuatilia usimamishwaji kazi wa wahandisi wa maji unaofanywa na Jumaa Aweso, ni usanii mtupu!
Unakuta mhandisi anasimamishwa kazi kwa ubadhilifu wa mali ya umma au uzembe, baada ya miezi mitatu kupita mhandisi anahamishiwa wilaya nyingine.
Aweso ni msanii.
Pia soma
TENA ANAPENDA KIKI HAKUNA KITU HAPOUkifuatilia usimamishwaji kazi wa wahandisi wa maji unaofanywa na Jumaa Aweso, ni usanii mtupu!
Unakuta mhandisi anasimamishwa kazi kwa ubadhilifu wa mali ya umma au uzembe, baada ya miezi mitatu kupita mhandisi anahamishiwa wilaya nyingine.
Aweso ni msanii.
Pia soma
AWESO NI TAPELI, MWIZI NA MSANII MKUBWA. HUYU NDIYE WAZIRI WA MAJI WA OVYO KUPATA KUTOKEA TANGU TANZANIA IPATE UHURU.Ni sanaa tupu, hapo alipiga mzigo lakini haukufika kwa Aweso
Tunasahau kuwa Waziri siyo mtendaji seriklini.Ukifuatilia usimamishwaji kazi wa wahandisi wa maji unaofanywa na Jumaa Aweso, ni usanii mtupu!
Unakuta mhandisi anasimamishwa kazi kwa ubadhilifu wa mali ya umma au uzembe, baada ya miezi mitatu kupita mhandisi anahamishiwa wilaya nyingine.
Aweso ni msanii.
Pia soma
Ni mwizi haswaAWESO NI TAPELI, MWIZI NA MSANII MKUBWA. HUYU NDIYE WAZIRI WA MAJI WA OVYO KUPATA KUTOKEA TANGU TANZANIA IPATE UHURU.