Waziri Aweso atoa siku saba kwa wakandarasi waliotekeleza Mradi wa Maji wa Miji 28 Tanga

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso, ametoa siku saba kwa wakandarasi wanaotekeleza Mradi wa Maji wa Miji 28 wilayani Muheza mkoani Tanga, kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi huo kutokana na kuonekana kusuasua licha ya uwepo wa fedha za mradi huo.

Waziri Aweso amebainisha haya baada ya kufika katika Kata ya Kilulu wilayani humo, kukagua mradi huo na kuelezwa changamoto ya maji na Mkuu wa Wilaya ya Muheza Zainab Abdallah, pamoja na wananchi wengine wa Muheza, ambapo Waziri Aweso amesema hajaridhishwa na kasi ya mradi huo Muheza licha ya mradi kama huo kutekelezwa vyema katika maeneo mengine kama Korogwe na Handeni.

Soma Pia: Tanga: Waziri Aweso Akagua Mradi wa Maji wa Bilioni 170 Katika Kata ya Mswaha

Your browser is not able to display this video.
 
Politics as usual
 
Ila Aweso analeta siasa kwenye maji. Hata hivyo huyo DC naye kaigiza kumpigia mumewe magoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…