Salam za Wizara ya Maji zikitolewa na Waziri wa Maji Jumaa Aweso kwa wananchi wa Manispaa ya Morogoro waliokusanyika katika uwanja wa Jamhuri katika Mkutano wa hadhara wa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika ziara inayoendelea mkoani Morogoro leo terehe 06 Julai,2024.
AWEZO NI TAPELI NA MUONGO! NI MOJA YA MAWAZIRI VILAZA KUPATA KUTOKEA KWENYE HIYO WIZARA. NI MWIZI NA FISADI MKUBWA. BAHATI MBAYA TAASISI YETU YA TIIZI NAYO IMEOZA. HUYU HAPASWI HATA KUWA DIWANI. SA100 KAMA WAPITA HUKU MCHUNGUZENI HUYU MWIZI ANAYEWATAPELI KWA KUTUMIA MEDIA