Waziri Aweso: Marufuku kumkatia Huduma ya Maji Mwananchi Siku ya Sikukuu na Wikiendi

Waziri Aweso: Marufuku kumkatia Huduma ya Maji Mwananchi Siku ya Sikukuu na Wikiendi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Waziri wa Maji Jumaa Aweso amewataka wasoma mita kuacha mara moja kuwakatia maji wananchi siku ya sikukuu ama jumamosi na jumapili kwa kuwa ni haki yao.Aidha amesisitiza wananchi waombapo kuunganishiwa maji basi siku saba zitoshe kukamilisha zoezi hilo.

Pia soma Meneja wa usambazaji maji MORUWASA asimamishwa kazi


 
Back
Top Bottom