Daaah watoto wa kume mna wivu kwa wanaume wenzenu sana shida nini kwani kuna mambo mengine ni mtu yeye kama yeye.Tangu akiwa mbunge,huyu bwana hussein bashe amekua na tabia kama mtoto mdogo za kula kucha..hata baada ya kuteuliwa kuwa waziri wa kilimo bado ameendelea kula kucha,kama kuna mtu yuko karibu yake humu amwambie anajitia aibu na anatutia aibu watanzania, baba zima kama yeye kula kucha ni aibu.
Mfano leo kwenye vikao vya sadc camera zimemmulika yuko busy tu anagugumia kucha badala ya kuconcentrate na mambo ya msingi yanayoendelea mkutanoni.
Ule ni ulemavu ko tusimhukumu
Wabongo kwa kushadadia issue za kipuuzi ‘Alhamdulillah ‘ tumejaaliwa
Alhamdulillah maana yake sifa zote njema/himidi zote ni za Allah. Sasa sijui imehusikia vipi hapa
Chuki tuTangu akiwa mbunge,huyu bwana hussein bashe amekua na tabia kama mtoto mdogo za kula kucha..hata baada ya kuteuliwa kuwa waziri wa kilimo bado ameendelea kula kucha,kama kuna mtu yuko karibu yake humu amwambie anajitia aibu na anatutia aibu watanzania, baba zima kama yeye kula kucha ni aibu.
Mfano leo kwenye vikao vya sadc camera zimemmulika yuko busy tu anagugumia kucha badala ya kuconcentrate na mambo ya msingi yanayoendelea mkutanoni.
Mimi nimewahi kuuliza baadhi ya watu, japo sina uthibitisho wa kisayansi, ila binafsi naona kabisa kuna uhusiani mkubwa tu Kati ya akili nyingi na wala kucha.Ukistaajabu ya Bashe utayaona ya mkulungwa! Sio kosa letu lakini ni u Genius tu!
View attachment 1464513
Nafikiri kweli upo uhusianoMimi nimewahi kuuliza baadhi ya watu, japo sina uthibitisho wa kisayansi, ila binafsi naona kabisa kuna uhusiani mkubwa tu Kati ya akili nyingi na wala kucha.
na hakika ni ugenious tu ila wasiofanya hivyk hawataelewa kuwa hii ni addiction zaidi ya cocaine, ni ngumu sana kuacha sababu ina mizizi tokea utotoni na sio hizi addiction zingine za kujifunza ukubwaniUkistaajabu ya Bashe utayaona ya mkulungwa! Sio kosa letu lakini ni u Genius tu!
View attachment 1464513
napenda sana dagaa na nazila haswa ila kula kucha hiyo ni issue nyingine ngumu sana kuachaDawa ya mtu anaekula kucha ni kula dagaa kwa wingi automatically ham ya kula kucha itakataa yenyewe.... jaribu utakuja kuniambia