Mbona hutuelezi mkataba hiyo itahusisha nini? Kwa mfano.: amesaini mkataba wa kwanza ni kuwauzia Tani 10 za mabungo (2) kushilikiana kuanzisha kilimo cha mbilimbi Mkulanga (3) kuanzisha kiwanda cha kutengeneza kamba za mgomba huko Karagwe kwa ajili ya nywele bandia!Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe amesaini mikataba mitatu ya ushirikiano na makampuni matatu Dubai, nchini U.A.E. Makampuni hayo ni pamoja na Ofisi binafsi ya biashara ya mwana Mfalme Sheikh Ahmed Dalmook Al Maktoum, AFRIDE na DMCC pamoja na Agritech Global.
Mikataba hiyo imesainiwa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 27 Februari 2022, jijini Dubai.
Mikataba hii ni sehemu ya mafanikio ya Tanzania kushiriki katika maonyesho makubwa ya kimataifa ya Dubai Expo 2020, ambapo mataifa 192 yameshiriki maonyesho hayo.
@hhshkmohd
View attachment 2133142
View attachment 2133143
Shangilia ushindi unakuja.Kwa hiyo tukusaidiaje?
Wabongo bwana, Wanakwambia eti SSH kaenda sabasaba Dubai.Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe amesaini mikataba mitatu ya ushirikiano na makampuni matatu Dubai, nchini U.A.E. Makampuni hayo ni pamoja na Ofisi binafsi ya biashara ya mwana Mfalme Sheikh Ahmed Dalmook Al Maktoum, AFRIDE na DMCC pamoja na Agritech Global.
Mikataba hiyo imesainiwa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 27 Februari 2022, jijini Dubai.
Mikataba hii ni sehemu ya mafanikio ya Tanzania kushiriki katika maonyesho makubwa ya kimataifa ya Dubai Expo 2020, ambapo mataifa 192 yameshiriki maonyesho hayo.
@hhshkmohd
View attachment 2133142
View attachment 2133143
Una uhakika gani kama Msoma sio Mtanzania halisi kuliko wengi wanaopiga kelele humu jukwaani?. Bob Marley alikuwa nusu mzungu nusu mjamaica lakini alikuwa mzalendo kuliko wajamaica wengi wenye ujamaica wa asilimia mia moja.Msoma.... Na Muara.... Wanasaini makubaliano kwa interest za mmatumbi.
Our state apparatus zipo likizo au??
Watia saini mbona si waTanzania wa asili !.Mmoja mkojani na mwingine msomali.Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe amesaini mikataba mitatu ya ushirikiano na makampuni matatu Dubai, nchini U.A.E. Makampuni hayo ni pamoja na Ofisi binafsi ya biashara ya mwana Mfalme Sheikh Ahmed Dalmook Al Maktoum, AFRIDE na DMCC pamoja na Agritech Global.
Mikataba hiyo imesainiwa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 27 Februari 2022, jijini Dubai.
Mikataba hii ni sehemu ya mafanikio ya Tanzania kushiriki katika maonyesho makubwa ya kimataifa ya Dubai Expo 2020, ambapo mataifa 192 yameshiriki maonyesho hayo.
@hhshkmohd
View attachment 2133142
View attachment 2133143
Halafu mleta mada anasema Bashe ndio kasaini.Watia saini mbona si waTanzania wa asili !.Mmoja mkojani na mwingine msomali.
Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe amesaini mikataba mitatu ya ushirikiano na makampuni matatu Dubai, nchini U.A.E. Makampuni hayo ni pamoja na Ofisi binafsi ya biashara ya mwana Mfalme Sheikh Ahmed Dalmook Al Maktoum, AFRIDE na DMCC pamoja na Agritech Global
Sheikh Ahmed bin Mohammed is the chairman of the Mohammed bin Rashid Al Maktoum Knowledge Foundation, and the National Olympic Committee. He is the son of Dubai ruler Sheikh Mohammed bin Rashid, Al Maktoum Vice-President and Prime Minister and Ruler of Dubai.
Mkuu ndipo somo la manegement na administration ilipopuuzwa hapa TZ.Utasikia hapo eti kazi iendelee huku kilichomo wanakijua watu wasiozidi 10 kati ya million 60.