Waziri Bashungwa apiga marufuku vivuko kuzidisha abiria na mizigo

Waziri Bashungwa apiga marufuku vivuko kuzidisha abiria na mizigo

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
WhatsApp Image 2024-10-08 at 12.14.25_983acae4.jpg
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) pamoja na vyombo vingine vya usafiri ndani ya maji kuzingatia sheria na miongozo mbalimbali ya usalama kwenye vivuko kwa kuhakikisha hawazidishi abiria wala mizigo ili kulinda usalama wa abiria pamoja na mali zao.

Bashungwa ametoa maelekezo hayo Mkoani Lindi wakati akizungumza na Wananchi na kutolea mfano ajali iliyotokea Oktoba03, 2024 nchini Congo ambapo Meli MV Merdi ilizama katika Ziwa Kivu na kusababisha vifo na upotevu wa mali.

“Ni marufuku kwa TEMESA kujaza abiria na mizigo kupita viwango, abiria msikubali kupanda chombo ambacho umeambiwa ujazo umepita ukomo na msiwe wabishi kwani tunafanya hiyo kwasababu tunataka kulinda nguvu kazi ya Taifa letu”, amesisitiza Bashungwa.

Bashungwa ametoa rai kwa wananchi kuwa na subra ya kusubiri kivuko kingine pindi wanapoona Kivuko kimejaa ili kuepusha ajali na matukio kama hayo na kuhakikisha tunalinda na kutunza nguvu kazi ya Taifa

Pia soma
 
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) pamoja na vyombo vingine vya usafiri ndani ya maji kuzingatia sheria na miongozo mbalimbali ya usalama kwenye vivuko kwa kuhakikisha hawazidishi abiria wala mizigo ili kulinda usalama wa abiria pamoja na mali zao.

Bashungwa ametoa maelekezo hayo mkoani Lindi wakati akizungumza na Wananchi na kutolea mfano ajali iliyotokea Oktoba 3, 2024 nchini Congo ambapo Meli MV Merdi ilizama katika Ziwa Kivu na kusababisha vifo na upotevu wa mali.

“Ni marufuku kwa TEMESA kujaza abiria na mizigo kupita viwango, abiria msikubali kupanda chombo ambacho umeambiwa ujazo umepita ukomo na msiwe wabishi kwani tunafanya hiyo kwasababu tunataka kulinda nguvu kazi ya Taifa letu,” amesisitiza Bashungwa.

Bashungwa ametoa wito kwa wananchi kuwa na subra ya kusubiri kivuko kingine pindi wanapoona kivuko kimejaa ili kuepusha ajali na matukio kama hayo na kuhakikisha tunalinda na kutunza nguvu kazi ya Taifa.

Chanzo: Dar Mpya

Pia soma
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) pamoja na vyombo vingine vya usafiri ndani ya maji kuzingatia sheria na miongozo mbalimbali ya usalama kwenye vivuko kwa kuhakikisha hawazidishi abiria wala mizigo ili kulinda usalama wa abiria pamoja na mali zao.

Bashungwa ametoa maelekezo hayo mkoani Lindi wakati akizungumza na Wananchi na kutolea mfano ajali iliyotokea Oktoba 3, 2024 nchini Congo ambapo Meli MV Merdi ilizama katika Ziwa Kivu na kusababisha vifo na upotevu wa mali.

“Ni marufuku kwa TEMESA kujaza abiria na mizigo kupita viwango, abiria msikubali kupanda chombo ambacho umeambiwa ujazo umepita ukomo na msiwe wabishi kwani tunafanya hiyo kwasababu tunataka kulinda nguvu kazi ya Taifa letu,” amesisitiza Bashungwa.

Bashungwa ametoa wito kwa wananchi kuwa na subra ya kusubiri kivuko kingine pindi wanapoona kivuko kimejaa ili kuepusha ajali na matukio kama hayo na kuhakikisha tunalinda na kutunza nguvu kazi ya Taifa.

Chanzo: Dar Mpya

Pia soma
Kwani lini iliruhusiwa kuzidisha?
Ni ajabu sana.
Kwani ajali zote hizo zilizotokea kuhusiana na vyombo vya usafiri wa majini wahudumu wa vyombo hivyo waliruhusiwa kujaza mizigo na abiria kupita uwezo wa chombo husika??
 

BASHUNGWA APIGA MARUFUKU KUZIDISHA ABIRIA NA UZITO KWENYE VIVUKO, “ABIRIA MSIWE WABISHI”

Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) pamoja na vyombo vingine vya usafiri ndani ya maji kuzingatia sheria na miongozo mbalimbali ya usalama kwenye vivuko kwa kuhakikisha hawazidishi abiria wala mizigo ili kulinda usalama wa abiria pamoja na mali zao.

Bashungwa ametoa maelekezo hayo Mkoani Lindi wakati akizungumza na Wananchi na kutolea mfano ajali iliyotokea Oktoba03, 2024 nchini Congo ambapo Meli MV Merdi ilizama katika Ziwa Kivu na kusababisha vifo na upotevu wa mali.

“Ni marufuku kwa TEMESA kujaza abiria na mizigo kupita viwango, abiria msikubali kupanda chombo ambacho umeambiwa ujazo umepita ukomo na msiwe wabishi kwani tunafanya hiyo kwasababu tunataka kulinda nguvu kazi ya Taifa letu”, amesisitiza Bashungwa.

Bashungwa ametoa rai kwa wananchi kuwa na subra ya kusubiri kivuko kingine pindi wanapoona Kivuko kimejaa ili kuepusha ajali na matukio kama hayo na kuhakikisha tunalinda na kutunza nguvu kazi ya Taifa
 

Attachments

  • BASHUNGWA APIGA MARUFUKU KUZIDISHA ABIRIA NA UZITO KWENYE VIVUKO .mp4
    62.4 MB
  • WhatsApp Image 2024-10-08 at 09.45.49.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-08 at 09.45.49.jpeg
    485.8 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-10-08 at 09.45.50.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-08 at 09.45.50.jpeg
    697.9 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-10-08 at 09.45.51.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-08 at 09.45.51.jpeg
    509.3 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2024-10-08 at 09.45.52.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-08 at 09.45.52.jpeg
    572.7 KB · Views: 3
Ni ajabu sana.
Kwani ajaki zote hizo zilizotokea kuhusiana na vyombo vya usafiri wa majini wahudumu wa vyombo hivyo waliruhusiwa kujaza mizigo na abiria kupita uwezo wa chombo husika??

"Tumekuwa kichwa mwenda kuzimu "-- AHM (rip).
 
Factor za ajali ziko nyingi tu, naandika kama mtaalam wa Maritime jiulize kwa nini hivyo vyombo havizami kabla ya kuanza safari?
 
WhatsApp Image 2024-10-08 at 12.14.24_e439733a.jpg
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) pamoja na vyombo vingine vya usafiri ndani ya maji kuzingatia sheria na miongozo mbalimbali ya usalama kwenye vivuko kwa kuhakikisha hawazidishi abiria wala mizigo ili kulinda usalama wa abiria pamoja na mali zao.

Bashungwa ametoa maelekezo hayo Mkoani Lindi wakati akizungumza na Wananchi na kutolea mfano ajali iliyotokea Oktoba03, 2024 nchini Congo ambapo Meli MV Merdi ilizama katika Ziwa Kivu na kusababisha vifo na upotevu wa mali.
WhatsApp Image 2024-10-08 at 12.14.25_983acae4.jpg

WhatsApp Image 2024-10-08 at 12.14.25_d788642f.jpg
“Ni marufuku kwa TEMESA kujaza abiria na mizigo kupita viwango, abiria msikubali kupanda chombo ambacho umeambiwa ujazo umepita ukomo na msiwe wabishi kwani tunafanya hiyo kwasababu tunataka kulinda nguvu kazi ya Taifa letu”, amesisitiza Bashungwa.

Bashungwa ametoa rai kwa wananchi kuwa na subra ya kusubiri kivuko kingine pindi wanapoona Kivuko kimejaa ili kuepusha ajali na matukio kama hayo na kuhakikisha tunalinda na kutunza nguvu kazi ya Taifa.
 
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) pamoja na vyombo vingine vya usafiri ndani ya maji kuzingatia sheria na miongozo mbalimbali ya usalama kwenye vivuko kwa kuhakikisha hawazidishi abiria wala mizigo ili kulinda usalama wa abiria pamoja na mali zao.

Bashungwa ametoa maelekezo hayo Mkoani Lindi wakati akizungumza na Wananchi na kutolea mfano ajali iliyotokea Oktoba03, 2024 nchini Congo ambapo Meli MV Merdi ilizama katika Ziwa Kivu na kusababisha vifo na upotevu wa mali.
“Ni marufuku kwa TEMESA kujaza abiria na mizigo kupita viwango, abiria msikubali kupanda chombo ambacho umeambiwa ujazo umepita ukomo na msiwe wabishi kwani tunafanya hiyo kwasababu tunataka kulinda nguvu kazi ya Taifa letu”, amesisitiza Bashungwa.

Bashungwa ametoa rai kwa wananchi kuwa na subra ya kusubiri kivuko kingine pindi wanapoona Kivuko kimejaa ili kuepusha ajali na matukio kama hayo na kuhakikisha tunalinda na kutunza nguvu kazi ya Taifa.
Mbona kwenye usafiri wa ndege hatujawahi kusikia tuhuma za kwamba abiria wameng'ang'ania kupanda kwenye ndege ambayo tayari imejaa abiria level sitting?? Kwa Nini suala hili la abiria kulazimisha kupanda kwenye vyombo vya usafiri vya majini tu na kisha kusababisha ajali?? Kwa nini ajali zitokanazo na kujaza abiria au mizigo kupita kiasi ziwe zinatokea katika vyombo vya usafiri vya majini tu peke yake Wala siyo kwenye usafiri wa anga?? Why??
 
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) pamoja na vyombo vingine vya usafiri ndani ya maji kuzingatia sheria na miongozo mbalimbali ya usalama kwenye vivuko kwa kuhakikisha hawazidishi abiria wala mizigo ili kulinda usalama wa abiria pamoja na mali zao.

Bashungwa ametoa maelekezo hayo Mkoani Lindi wakati akizungumza na Wananchi na kutolea mfano ajali iliyotokea Oktoba03, 2024 nchini Congo ambapo Meli MV Merdi ilizama katika Ziwa Kivu na kusababisha vifo na upotevu wa mali.
“Ni marufuku kwa TEMESA kujaza abiria na mizigo kupita viwango, abiria msikubali kupanda chombo ambacho umeambiwa ujazo umepita ukomo na msiwe wabishi kwani tunafanya hiyo kwasababu tunataka kulinda nguvu kazi ya Taifa letu”, amesisitiza Bashungwa.

Bashungwa ametoa rai kwa wananchi kuwa na subra ya kusubiri kivuko kingine pindi wanapoona Kivuko kimejaa ili kuepusha ajali na matukio kama hayo na kuhakikisha tunalinda na kutunza nguvu kazi ya Taifa.
Waweke mita iwe inaonesha ili mtu akiamua kwenda ajue kajipeleka mwenyewe asijilaumu kifo kikimkuta
 
Mbona kwenye usafuri wa ndege hatujawahi kusikia tuhuma za kwamba abiria wameng'ang'ania kupanda kwenye ndege ambayo tayari imejaa abiria level sitting?? Kwa Nini suala hili la abiria kulazimisha kupanda kwenye vyombo vya usafiri vya majini tu na kisha kusababisha ajali?? Kwa nini ajali zitokanazo na kujaza abiria au mizigo kupita kiasi ziwe zinatokea katika vyombo vya usafiri vya majini tu peke yake Wala siyo kwenye usafiri wa anga?? Why??
Shida si kwa wanao panda,shida ipo kwa wanaokata tiketi
 
Mfano meli,hasa kipindi cha sikukuu,unakuta watu nyomi,mizigo nyomi ila tiketi wakata tu
 
Waweke mita iwe inaonesha ili mtu akiamua kwenda ajue kajipeleka mwenyewe asijilaumu kifo kikimkuta
Primsoll Line iliyopo kwenye chombo husika cha usafiri wa majini ni ishara nzuri ya kuonyesha kwamba chombo hicho kina mzigo ambao uzito wake ni mdogo na salama kwa Safari tarajiwa.
 
Shida si kwa wanao panda,shida ipo kwa wanaokata tiketi
Shida ipo katika suala zima la usimamizi wa hivyo vyombo vya usafiri wa majini. Kuna Usimamizi mbovu sana wa hivyo vyombo vya usafiri wa majini, wasimamizi wa hivyo vyombo hawajali utu, uhai Wala usalama wa abiria na Mali zao, wao wanachojali ni pesa tu Basi.
Mbaya zaidi sana, hata wale watu wanaohusika na suala zima la udhibiti wa viwango vya uzito wa mizigo inayopakiwa kwenye chombo husika, wao wenyewe binafsi huwa hawasafiri pamoja na abiria wengine kwenye hivyo vyombo.Badala yake hao wadhibiti wa viwango vya uzito wa mizigo huwa wanabaki pwani/nchi kavu huku wakiendelea na shughuli zao zingine kwenye Ofisi zao. Inatakiwa kuwe na taratibu za kuwalazimisha hao watu wanaohusika na suala zima la udhibiti wa kiasi cha uzito wa mizigo na wao wasafiri pamoja kwenye hiyo meli au boti husika, ili hata kama meli au boti husika ikipata ajali na kuzama kwenye maji kutokana na kuzidiwa na uzito mkubwa wa mizigo, Basi na wao pia wazame pamoja na meli au boti yenyewe. Hii itasaidia kuwapa fundisho la wao kuogopa kuzidisha uzito wa mizigo inayotakiwa kupakiwa kwenye chombo cha usafiri, kwa sababu wataogopa kifo kutokana na ajali za chombo kuzama kwenye maji.
 
Mwendokasi je
😄 na madaladala

Ova
 
Back
Top Bottom