tzkwanza
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 1,568
- 3,610
Mlitaka kumfurahisha mama kwa kusogeza mechi mbele ili watu waangalie uzinduzi wa kitabu cha Mwinyi pia kumpa mama nafasi ili aje uwanjani. Kiki hii iligonga mwamba.
Kiki ya pili mnataka kuwapa lawama Yanga na TFF wakati UJINGA mmeufanya nyinyi wizarani. Hii kiki ya pili nayo itawatokea puani. Msijaribu kuwapa adhabu Yanga wala TFF, pigeni kimya mmeshalikoroga na watu wote wanajua nyie ndio wachawi wawili (Domo-Chaijaba na Mr.Mishavu).
Kama mna hekima hata robo ombeni msamaha kwa watanzania pia muweke mambo sawa hela zao zinarudi vipi.
Kiki ya pili mnataka kuwapa lawama Yanga na TFF wakati UJINGA mmeufanya nyinyi wizarani. Hii kiki ya pili nayo itawatokea puani. Msijaribu kuwapa adhabu Yanga wala TFF, pigeni kimya mmeshalikoroga na watu wote wanajua nyie ndio wachawi wawili (Domo-Chaijaba na Mr.Mishavu).
Kama mna hekima hata robo ombeni msamaha kwa watanzania pia muweke mambo sawa hela zao zinarudi vipi.