Waziri Damas Ndumbaro Atatua Kero za Wananchi Jimboni Songea

Waziri Damas Ndumbaro Atatua Kero za Wananchi Jimboni Songea

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro leo Julai 9, 2024 ameanza rasmi ziara katika jimbo hilo kusikiliza na kutatua kero za wananchi.​

Katika ziara hiyo Mhe. Ndumbaro ameambatana na wataalamu mbalimbali kutoka katika Manispaa ya Songea Mjini ili kusikiliza hoja na kero mbalimbali na Kisha kutoa majibu ya kero zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo

Moja kati ya changamoto zilizoibuliwa katika ziara hiyo ni ukosefu wa maji wa muda mrefu katika mitaa ya kata ya Mletele ambayo imetokana na kukosekana kwa bomba la kufikisha maji katika mtaa wa Mdundiko hatua iliyomfanya Mhe. Mbunge atatue changamoto hiyo kwa kujitolea kuchangia kiasi cha shilingi Laki Tano ili kukamilisha kiasi kinachotakiwa ili wananchi wapate huduma hiyo.

Aidha Mhe. Ndumbaro amewaahidi wananchi hao kutatua changamoto ya usafiri wa kufika mjini ambao umekua kikwazo katika eneo hilo.



WhatsApp Image 2024-07-12 at 18.57.53.jpeg
WhatsApp Image 2024-07-12 at 18.57.57.jpeg
WhatsApp Image 2024-07-12 at 18.57.58.jpeg
WhatsApp Image 2024-07-12 at 18.58.00.jpeg
WhatsApp Image 2024-07-12 at 18.58.00(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-07-12 at 18.58.02.jpeg
WhatsApp Image 2024-07-12 at 18.58.03.jpeg
WhatsApp Image 2024-07-12 at 18.58.04.jpeg
WhatsApp Image 2024-07-12 at 18.58.06.jpeg
 
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro leo Julai 9, 2024 ameanza rasmi ziara katika jimbo hilo kusikiliza na kutatua kero za wananchi.​

Katika ziara hiyo Mhe. Ndumbaro ameambatana na wataalamu mbalimbali kutoka katika Manispaa ya Songea Mjini ili kusikiliza hoja na kero mbalimbali na Kisha kutoa majibu ya kero zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo

Moja kati ya changamoto zilizoibuliwa katika ziara hiyo ni ukosefu wa maji wa muda mrefu katika mitaa ya kata ya Mletele ambayo imetokana na kukosekana kwa bomba la kufikisha maji katika mtaa wa Mdundiko hatua iliyomfanya Mhe. Mbunge atatue changamoto hiyo kwa kujitolea kuchangia kiasi cha shilingi Laki Tano ili kukamilisha kiasi kinachotakiwa ili wananchi wapate huduma hiyo.

Aidha Mhe. Ndumbaro amewaahidi wananchi hao kutatua changamoto ya usafiri wa kufika mjini ambao umekua kikwazo katika eneo hilo.

View attachment 3040755
View attachment 3040756
View attachment 3040757View attachment 3040758View attachment 3040759View attachment 3040760View attachment 3040761View attachment 3040762View attachment 3040763View attachment 3040764View attachment 3040765View attachment 3040766
Siku zote wameoga kwa shido😢
 
Kaanza leo ? Kwamba hizo Kero zimeanza kutokea Jana ? Alikuwa wapi siku zote ?
 
Mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma ina wananchi wajinga haswa ndiyo maana CCM imekita mizizi huko sijui kwanini hawa ndugu zetu hawataki kubadilika hata kidogo.
 
Back
Top Bottom