DOKEZO Waziri Dkt. Gwajima, fanya yafuatayo ili kuwakomesha wahuni (beach boys) wote katika fukwe zetu za Dar es Salaam

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tayari uku Gentamycine kaliwa dem wake kawe
 
Plan zipo ndugu, soma tu taarifa zetu. Uwe na plan ya kusoma na kusikiliza matoleo ya taarifa zetu mbalimbali kama wengine. Itasaidia Sana. Karibu.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Taarifa na "plan" ni vitu tofauti.

"Taarifa" ndiko huko mnakwama mawaziri wa kisiasa.

Usijidanganye, plan uliileta hapa JF imepitwa na wakati, sasa unasema ipo.


Hivi mnazo sera na taratibu zinazoendana na hali ya jamii ya leo hapo wizarani kwenu au ndiyo toka zilizowachwa na Zahra Nuru enzi za Nyerere?
 
Na huko sasa kwenye kuzima, ndiyo tutajua ulikoanzia maana tutakutana na watu wenye mwitikio wa ushirikiano siyo kama ndugu yetu yule wa kuvuruga barabara[emoji28]

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Hapo umesema ukweli wako, kuwa unakwenda kuzima moto ili upate kuligeuza tatizo kuwa fursa.

Hiyo kama unatembea kwenye "Resilience" ya mama Samia, sasa uje na Reforms.

Dah, kazi tunayo. Kwa kuzima moto tu hujambo na nnakupa maua yako.
 
Hapo umesema ukweli wako, kuwa unakwenda kuzima moto kwenda ili upate kuligeuza tatizo kuwa fursa.

Hiyo kama unatembea kwenye "Resilience" ya mama Samia, sasa uje na Reforms.

Dah, kazi tunayo. Kwa kuzima moto tu hujambo na nnakupa maua yako.
Yaani badala ya maneno yote haya, subiri wadau wakiitwa kutoa maoni jinsi ya kumaliza tatizo hili, na ww uje. Ila moto ukilipuka sisi hatutaacha kuuzima. Hilo uvumilie tu. Ndiyo maana na fire extinguisher huwa zipo kwenye nyumba hata zile nyumba za kisasa kabisa za ulimwengu wa kwanza, siyo Ili kwamba moto lazima uwake. Na sisi tupo na mifumo aina zote tayari tayari, nadhani upo hapo.

Sasa mfumo mmoja ukifanya kazi vzr Hadi wewe ukatoa pongezi, hiyo nayo ni hatua. 😀. Usidhani mingine haifanyi kazi. Ipo..... Ni huku na huku.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Asante sana Mkuu na Ashukuriwe Mwenyezi Mungu kwa Karama na Baraka zake Kwangu, Kwako na kwa Wengine.
Wewe dua zako hazivuki hata dari. Zingekuwa zinavuka dari, saa hizi Simba mabingwa wa Afrika.
 
Hiyo iliyopitwa na wakati ndiyo imepewa extension Hadi end of Novemba 2023. Sasa kama tarehe imeisha na sisi tukaipa extension hiyo mipango yake halafu ww hutaki maelezo, sina msaada .. kwa kuwa hata hivyo ni wewe tu ambaye huelewi nayo siyo mbaya Sana.... Ila mm siachi kumwelimisha mtu kwa Ninalojua liko hivi yy anasema vile, siachi. Ndiyo fursa ya wengine kujua yalivyo. [emoji3]

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Kwani hujui kama tuna toleo jipya la sera ya jinsia na maendeleo ya wanawake? Halafu hujui kama tuko hatua za mwisho za sera ya Wazee... Tatizo lako moja tu, hufuatilii taarifa za wizara yako...[emoji2960]

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Ipo kwa porojo? Maoni sisubiri, nnyatowa kila siku, mwenye kuyaona anayaona asiyeyaona siwezi kumlazimisha ayaone. Ni upeo tu wa mtu.

Bibie, wewe nimekwambia kwa kuzima moto nakusifu sana. Lakini ubunifu ni nil. Kumbuka hilo. Reform.
 

Kama ni ile uliyonambia nikaipakuwa, hakuna hata kimoja chenye kuendana na matizo ya jamii ya leo. Nadhani hata kuisoma hujaisoma.

Kama sera ni ile basi endelea tu na kuzima moto. Sitegemei zaidi ya hilo kwa yale.

Kila unapowaka moto utajulishwa.
 
Wajeda wako wapi ?
Mbona ni kuwaambia wakasafishe fukwe siku mbili
Yaani wakisema tunakuja siku flani hutaona mtu hapo
 
Ipo kwa porojo? Maoni sisubiri, nnyatowa kila siku, mwenye kuyaona anayaona asiyeyaona siwezi kumlazimisha ayaone. Ni upeo tu wa mtu.

Bibie, wewe nimekwambia kwa kuzima moto nakusifu sana. Lakini ubunifu ni nil. Kumbuka hilo. Reform.
Hata kule tunakolaza wagonjwa ,tumeweka na ufuatiliaji, huwa tukiona joto limepanda Sana, huwa tunaenda kulizima kisha tunaendelea na utaratibu wa kawaida. Hivyo, hata huku tumeweka mazingira hayo hayo. Joto la jamii likizidi, tunalizima tu. Nduhü tabu kabisa[emoji847]

Kwa kuwa umeamua kutoa alama hizo, sasa mimi nikufanyaje... Toa tu .... Na mm zangu nimeshakutolea ... Nipe nikupe....

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Kama ni ile uliyonambia nikaipakuwa, hakuna hata kimoja chenye kuendana na matizo ya jamii ya leo. Nadhani hata kuisoma hujaisoma.

Kama sera ni ile basi endelea tu na kuzima moto. Sitegemei zaidi ya hilo kwa yale.

Kila unapowaka moto utajulishwa.
Siyo hiyo sasa, mpya kabisa. Hiyo nimeshaelimisha jamii wameelewa kisa mkasa. Ww huelewi, sasa nikufanyaje... Sina la kukufanya mm... [emoji847]

Na kwa kuwa kwenye system yoyote mambo ya dharura hayaishi , hata tukiwa safarini kwenye vyombo makini kabisa vya usafiri wa anga, huwa tunaambiwa viliko vifaa vya kujiokoa ikitokea dharura, na mm nasema hivi; ndugu wananchi, mifumo ipo inafanya kazi huko kwenye jamii kupitia sekta mbalimbali, lakini ikitokea dharura, msisite kupaza sauti, tupo tutakuja ku adjust system husika Ili ziendelee mbele. Haya maoni haya hayatutoa kwenye mstari.... 🤝

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Waziri wetu MCHAPAKAZI msikikizaji kero za wananchi na mtatuzi wa HALAKA shida za DHALURA
ninakusihi usibishane na huyu 7bu anachotaka ukasirike
Hujibu maneno mabaya ili apate kuona unaharibu IMAGE yako uliyoijenga kwa uzarendo na uchapakazi

Sisi tumeiona kazi yako na tunaKuuunga mkono JUHUDI zako kwa kukuletea taarifa mbalimbali
na pamoja kuchukua hatua stahiki

Hvyo ni vema kumkwepa kwa BAADHI ya comment
7bu huyu Bi dada ukimshinda kwa HOJA
ataanza kukufundisha somo la kiswahili kwa kuchambua typing error
Na kwakuwa kwako amefanya hivyo basi imedhiirisha ushamshindwa kwa HOJA
Hvyo muignore tu hana JIPYA
 
Jifunze kuandika vizuri kiswahili.
Utakuja kosa fursa hivihivi kwa uvivu wa kuandika.
Kwani ukiandika 'sababu' ikakamilika unapungukiwa nini.
7bu ndio uandikaji gani huo😳😳😳😳
 
Ahsante Sana, na mm katu huyu sitamjibu vibaya. Nitamjibu kama Mwalimu. Kwanza hapa ana brand majibu yangu bure bila gharama 😀, namcheki namjibu huku natabasamu. [emoji3][emoji3][emoji3]

JamiiYetuFahariYetu 🇹🇿

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Jifunze kuandika vizuri kiswahili.
Utakuja kosa fursa hivihivi kwa uvivu wa kuandika.
Kwani ukiandika 'sababu' ikakamilika unapungukiwa nini.
7bu ndio uandikaji gani huo[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Wewe tu ila WAZIRI wetu hana noma
Anaendana na SWAGAZ za vijana
We soma comment zake utaona wala hana noma
 
Madam nakuomba ukae kimya huyo ana ajenda yake binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…