DOKEZO Waziri Dkt. Gwajima, fanya yafuatayo ili kuwakomesha wahuni (beach boys) wote katika fukwe zetu za Dar es Salaam

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nishakwambia acha kumdaharau mhe waziri Dorothy ,si kosa lake kuwa kipanga🙏🙏
Kashughulike na ummy mwislam Mwenzio
Dorothy humuwezi,yule kipanga hajaingia kwa vy.upi🙏🙏


Ac
Naona umekosa hoja unaanza viroja.
 
Naona umekosa hoja unaanza viroja.
Hapana
Yuko njema
Unamwonea na kumdhalilisha kila leo hapa jukwaani
Mpe heshma yake Kama kiongozi🙏
Hata kukosoa mkosoe kwa heshma,sio kumwondolea credibility ya kazi yake,ambayo anayo na anstahili kwakuwa ameitolea jasho
Hakupewa kwenye silver platter Kama hao wa Imani yako🙏
 
Vile mabeach BOY wametulia wanausoma uzi.😎😎
 
Wazuri lifanyie kazi upesi dada zetu wanaliwa kisela sana[emoji3064][emoji3064]
 
Jiheshimu wewe bibi. Kaunde serikali yako uifanyie reform. Waziri Gwajima ni mchapakazi na ni mfano wa kuigwa. Narudia tena JIHESHIMU BIBI. ACHA KUOTA MAPEMBE
Nilivyoona comment yake tu,nikajua kweli kumbe wanawake hawapendani!!
 
Nilivyoona comment yake tu,nikajua kweli kumbe wanawake hawapendani!!
Huyo anawachukia sana wakristo. FaizaFoxy ni kirusi kwenye amani ya taifa. Ni wale watu ambao wangekuwa na uwezo wangetufutilia mbali sisi wakristo. Roho yake ni ya kigaidi. Bahati nzuri Mungu ni mwema hawezi fanya lolote zaidi ya kubaki na chuki zake tu.
 
wakitaka hako ka clip video ninako nitakawakilisha kutumia kutumia bundle langu kabisa.

haiwezekani wawe wanakula mademu zetu ki ulaini hivo kwa kutumia kigezo cha kuogelea tu kwanza watatuambukiza maginjwa ya ngono ikiwemo ngoma mbwa hao
 
wakitaka hako ka clip video ninako nitakawakilisha kutumia kutumia bundle langu kabisa.

haiwezekani wawe wanakula mademu zetu ki ulaini hivo kwa kutumia kigezo cha kuogelea tu kwanza watatuambukiza maginjwa ya ngono ikiwemo ngoma mbwa hao
Hii connection inapatikana wapi?
Mbona nimeisaka sanaa na siipati?

#YNWA
 
😂😂😂😂😂Duh ni hatwari na nusu ase! Mikakati yoote hii kumbe ni kujipromo na kuomba kazawadi?!

Anywa mimi huwa nawaambia ukweli watanzania bila polisi hakuna uhalifu nchini!!! Hii mikakati uliyoitoa hapa ni sehemu ndogo tu ya medani zinazofundishwa na si kwamba uhalifu huu na mwingine kama hule wa kijiji cha kawe beach hawaufahamu la asha, tatizo lao ni maslahi binafsi kuwekwa mbele na kuacha maslahi ya taasisi nyuma.

Wao kila uhalifu ni mradi wa kuingiza kipato binafsi ndio maana hata wakati mwingine wanatengeneza miradi hiyo wenyewe kama hule wa panyaroad!
 
Ndugu yangu maombi Yako...yamefanyiwa kazi Leo Kwa macho yangu nimemuona Dkt. Gwajima D kwenye fukwe za cocobeach msasani akiwa na wajumbe wake nilitamani nipigie picha ila nikaogopa wazee wa kazi wasije wakanisumbua 🤣🤣🤣

Katika Hilo kiukweli nimempenda bure huyu mama Dkt. Gwajima D namuombea umri mrefu Tanzania inahitaji matokeo. Kama kiongozi ameamua kuja Frontline yeye mwenyewe amini nakuambia kaka GENTAMYCINE hoja Yako ya msingi inaenda kupata ufumbuzi. Lakini naomba isije ikawa mambo ya kulipia😭😭

Ikitokea tukaanza kulipia kuingia kushangaa bahari itakuwa mbaya sana.

Mama Dkt. Gwajima D Nakupenda sana Leo umenifurahisha​
 
Asante sana kwa Taarifa Mkuu, Nimefurahi kusikia hivyo, ni Jambo jema na namtakia kila la Kheri Waziri Dada Dkt. Gwajima D
 
Kama jiji au serikali kwa ujumla inajitambua, kungekuwa na waokoaji, wenye cheti/ leseni na sio wahuni wowote.
Kama ni kufundishwa kuogelea kuwe na vyuo, sio wahuni, rasmi vya kufundisha hilo jambo, anayekwenda ufukweni, awe anayejua kuogelea, kama hajui ajisalimishe kwa waokoaji ambao iwe ni lazima kuwe na eneo maalum tena la maji ya kina kifupi, asiyejua kuogelea atapelekwa hapo.


Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
#HABARI Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk Doroth Gwajima amesema kuna haja ya kuweka mfumo maalumu katika fukwe ili huduma zinazotolewa kutambulika na watu wanaotoa huduma pia kutambulika lengo ni kuepuka watu matapeli ambao wanafanya ukatili.

Dk Gwajima ameeleza hayo wakati alipofanya ziara katika fukwe za Coco na Kawe ili kujadiliana na watoa huduma za kuogelea (Beach boy) ikiwa ni hatua za kukomesha vitendo vya ubakaji kwa wasichana, vinavyofanywa na watu wachache wasiowaaminifu.

Nilichoona hapa ni kuwa hawa vijana wanahitaji kuweka mifumo maalum ya watu kujua huduma wanazotoa na nimewaagiza watoe matangazo na vipeperushi vya huduma ili wanaokuja hapa wasikutane na matapeli kwani hii inachafua taswira yenu,” amesema Gwajima #EastAfricaTV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…