Waziri Dkt. Stergomena Tax aungana na Wajumbe kushiriki Kikao cha Kamati ya Siasa wilayani Magu

Waziri Dkt. Stergomena Tax aungana na Wajumbe kushiriki Kikao cha Kamati ya Siasa wilayani Magu

DodomaTZ

Member
Joined
May 20, 2022
Posts
84
Reaction score
118
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb), leo Juni 29, 2024 ameungana na Wajumbe wengine kushiriki katika Kikao cha Kamati ya Siasa Wilaya Magu, jijini Mwanza. Kikao hicho kimefanyika Ofisi za CCM, Magu kikiongozwa na Mwenyekiti wake, Komredi Enosy Ndobheji Kalambo.

photo_2024-06-29_16-53-30.jpg

photo_2024-06-29_16-52-58.jpg
 
Kwa hiyo ubunge wa viti maalumu haumtoshi anataka kwenda kugombea Magu.
Tokea lini yeye ni mbunge wa Magu?
 
DKT. STERGOMENA TAX ASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI YA SIASA WILAYA MAGU

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) Juni 29, 2024 ameungana na Wajumbe wengine kushiriki katika Kikao cha Kamati ya Siasa Wilaya Magu, jijini Mwanza. Kikao hicho kimefanyika Ofisi za CCM, Magu kikiongozwa na Mwenyekiti wake, Komredi Enosy Ndobheji Kalambo.

IMG-20240629-WA0052.jpg
IMG-20240629-WA0053.jpg
IMG-20240629-WA0051.jpg
 
DKT. STERGOMENA TAX ASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI YA SIASA WILAYA MAGU

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) Juni 29, 2024 ameungana na Wajumbe wengine kushiriki katika Kikao cha Kamati ya Siasa Wilaya Magu, jijini Mwanza. Kikao hicho kimefanyika Ofisi za CCM, Magu kikiongozwa na Mwenyekiti wake, Komredi Enosy Ndobheji Kalambo.
Miaka 8 SADC hata ofisi ndogo tu kufacilitate biashara za kimataifa kikanda kutumia uzoefu wake hayo alikuwa anasimamia hana! matokeo anahangaika kutafuta hifadhi kwa watu aliowaacha kijijini kipindi kirefu, leo kawakumbuka kuwa ni wa muhimu..atawafaa nini mtu kama huyu, hata hao ccm kutanguliza mtu wa aina hii ni kama hawawatakii mema watu wa magu!
 
Anashiriki hicho kikao cha kamati ya siasa ya Wilaya, kama nani!
 
Anataka kumtoa Kiswaga ? Acha warogane
 
Awe makini tu, Kiswaga ana majungu na umafia. Yuko katika kila kikundi hata kama cha kukopeshana laki. Ila kwa heshima tu kwa kazi nzuri za huyu mama kwa taifa, kwa nini asikae pale Dodoma Bungeni? Ni moja kati ya wanamama wachache taifa linajuvunia, na hata afrika.

Aangalie tu sumu za mamba na kamati za ufundi, Magu kuna ma master wengi wa unga wa miti ndio maana imekuwa nzito kuendelea
 
Back
Top Bottom