#COVID19 Waziri Gwajima aagiza Askofu Gwajima kukamatwa ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya UVIKO-19

Gwajima alikuwa anatumia chanjo kutaka kutrend/kiki ili aendelee kuzungumzwa maana tangu ile movie watanzania walianza kumsahau.
 
Wewe unanjua sifa za kuwa Askofu, au unabwabwaja tu?
 
acha wafu wazikane
 
Gwajima ni mhuni tu Hana maadili kwa nchi ambazo Zina sheria za maadili huyu jamaa hakifaa kuwa mbunge,na pia ni tapeli na mlaghai ashandanganya anafufua watu ,rejea kisa cha Amina chifupa.Inaskitsha sn Kuna watu Bado wanamuamini.
Hata Mimi bado najiuliza hivi anapowadanganya waumini wake na wanapiga vigelegele akiri wanakua wamepeleka wapi jamani hivi kwenye jukwaa hill hakuna muumini wa gwajima aje atuambie wakati bwana gwajima anapojimwambafai kanisani.akiri zake yeye binafsi anakua amepeleka wapi?
 
Maneno ya Yesu Kristo Math. 10: 34 - 39 yanatimia kwa mshindo mkuu

"....sikuleta amani duniani Bali mafarakano kati ya mtu na ndugu yake...............

SOMA MISTARI YOTE
 
Nimecheka kwa sauti,nimefanya imagination Gwajima kamwagina makemiko kibao pamoja na vifaa kibao anabaki anatetemeka hajui achukue kemiko ipi aache ipi.Hajui achanganye nini.Kabaki katumbua macho tu.Anaongea Story zake atueleze kama anaweza kuthibitisha
 
Your browser is not able to display this video.
 
Jibuni hoja kwa hoja na si kuweweseka kumkamata Josepht.
Wakati wa Magufuli ni nyie hao hao mlokuwa mstari wa mbele kuungana naye kupinga chanjo.Wewe waziri wa afya ulionyesha mifano mingi na kusisitiza matumizi malimao,vitunguu,pilipili na takata nyingine nyingi,pamoja na kupiga nyungu kuwa ndo dawa za korona.Mlikwenda hata kuchukua uchafu mwingine kule Madagascar kwa ndege ya serikali.Sasa toeni proof za kisayansi kudhibitisha kwamba chanjo ni salama na si kusumbua wale wanaosema si salama kwa maana ninyi tangu mwanzo mlituaminisha hivyo.
Acheni kuwa na double standard.
 
Huko mbele watu wanakosoa kuhusu chanjo, na wanamuweka mtu kati gavana wa jimbo kwenye mitahalo ya ana kwa ana, wala hakuna mtu anayekamatwa na FBI, PD etc na kwenda kuhojiwa...

Kwenye hili nimetumia mfano wa US kwa sababu kuna mambo mfano maisha baada ya uchaguzi, viongozi wetu wamekuwa wakitolea mfano wa namna viongozi mathalani wa US wanavyokuwa wamoja pimdi chaguzi zinapoisha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…